lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,126
- 33,156
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.