samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Lissu amesema Tanzania kuna Ukabila na undugulization na akatuambia kuna fulani ni mpwa wa fulani, kuna fulani ni mjomba wa fulani na kuna fulani ni kabila moja na fulani tena kawataja watu wa vyeo vya juu kabisa bila woga, Sasa kumjibu Lissu hakuhitaji maneno meeeengi ila nyie kutuambia sio kweli, fulani hana undugu na fulani, fulani yeye ni Mzaramo sio Msukuma na ushahidi huu hapa..Mbona majibu ni rahisi tu kama jibu Si kweli??