Walichokifanya Urusi kwa Marekani ndio walichotaka kufanya Chadema katika uchaguzi wa 2015

ibesa mau

JF-Expert Member
Sep 17, 2015
2,109
1,692
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana


Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.

Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.

Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
 
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana


Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.

Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.

Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
Acha bangi mkuu Marakani wazidiwe IT na Tanzania!!
 
Unauhakika gani kuwa kwamba ccm hawakufanya hivyo?
Wao si ndio wenye dola bhna si wanaweza kuamua chochote?
Tume yao kweli tungetegemea washindwe?
 
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana


Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.

Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.

Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
Siku hizi humu ndani kila mtu anajua. Hivyo vitu ulivyofananisha hata haviendani. Marekani hawaishutymu Urusi kwa ku-hack mfumo wa uchaguzi . Wanachoishutumu ni kwa ku-hack emails za democrats na kuzivujisha wikileaks kitu ambacho wanadhani kime-influence uchaguzi wao. Usifikiri waliingia kwenye mfumo wakabadilisha idadi za kura. Sasa wewe umeandika kihisia tena hata bila usahihi. Nakushauri usiwe unasoma vichwa vya habari bila kufuatilia kwa undani.
NB: Mimi sio CHADEMA ila sipendi maandiko ya upotoshaji
 
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana


Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.

Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.

Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
Ongea vitu vya maana, kwa wakati tuliopo hatuhitaji propaganda za kijinga
 
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana


Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.

Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.

Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo

Kwann hao vijana wamekutwa hawana hatia???
 
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana


Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.

Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.

Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
irrelevant!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom