ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana
Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.
Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.
Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.
Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.
Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo