Walichokifanya PayPal ni ajabu, mbona google Wana njia zaidi ya moja ya kumtambua user wa account flani?

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,207
1,755
Nime experience ugumu wa kurejesha account ambayo nilitumia muda mrefu kidogo.

Issue ilikuwa hivi nilidondosha simu sijui wapi, nikapoteza na simcard humo humo ambayo ndo nilitumia kusajili PayPal nikaona haina shida number yenyewe sikuikalili isipokuwa tarakimu za mwisho, customer care wakazingua wakati waku renew enzi hizo Hakuna mambo ya kureport kwa police nikaipoteza.

Sasa Leo nalogin Kule PayPal napewa confirm kwa email na baada ya hapo nikafikiri nimemaliza nikashangaa wananambia malizia kukonfirm kwa phone number hapo nikasema Sina hiyo number ngoja nijaribu njia nyingine narudishwa kwenye phone number hapo ndo nikasema nimejipa hasara maana hata ukijaribu kuwasiliana nao wanataka uingie kwanza Kisha utumie Ile email yao vipi imekaaje hapa.

Hebu wadau wa PayPal Kama umewahi experience hii trouble umefanikiwa vipi kutatua kinachoniuma Ni zile pesa.

Embu kujeni mtoe solution.
 
Ni kawaida... verify account hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
account ipo fully verified mkuu, kuna wakati nilikua najaribu ku log in kwa kutumia browser inagoma ila kwa kutumia App ya Skrill ilikuwa inakubali, sasa naona ile kujaribu mara nyingi bila mafanikio kwa kutumia browser imepelekea hili.


Account ipo verified na wamenipa star. labda kama kuna mjanja ame hack
 
Nime experience ugumu wa kurejesha account ambayo nilitumia muda mrefu kidogo.

Issue ilikuwa hivi nilidondosha simu sijui wapi, nikapoteza na simcard humo humo ambayo ndo nilitumia kusajili PayPal nikaona haina shida number yenyewe sikuikalili isipokuwa tarakimu za mwisho, customer care wakazingua wakati waku renew enzi hizo Hakuna mambo ya kureport kwa police nikaipoteza.

Sasa Leo nalogin Kule PayPal napewa confirm kwa email na baada ya hapo nikafikiri nimemaliza nikashangaa wananambia malizia kukonfirm kwa phone number hapo nikasema Sina hiyo number ngoja nijaribu njia nyingine narudishwa kwenye phone number hapo ndo nikasema nimejipa hasara maana hata ukijaribu kuwasiliana nao wanataka uingie kwanza Kisha utumie Ile email yao vipi imekaaje hapa.

Hebu wadau wa PayPal Kama umewahi experience hii trouble umefanikiwa vipi kutatua kinachoniuma Ni zile pesa.

Embu kujeni mtoe solution.
Paypal wana tabu sana, na ukiwa na shida customer care ni uweke vocha upige simu marekani, kitu ambacho hakimake sense kabisa. Hili ndio tatizo la kuwa monopoly.

Google ama microsoft unaweza kuchat nao kirahisi tu na kusolve mambo madogo kama hayo.
 
Mimi nadhani ili kuepush usumbufu zaidi hizi kampuni zinazofanya miamala ya fedha world wide wangekua na ofisi zao kabisa Hapa nchini vinginevyo pesa yako inakua at Risk Sana
ingetokea ata moja tuu either Skrill , Netellar or anyone. PayPal doesn't work in Tanzania mda mrefu tuu
 
Mimi nadhani ili kuepush usumbufu zaidi hizi kampuni zinazofanya miamala ya fedha world wide wangekua na ofisi zao kabisa Hapa nchini vinginevyo pesa yako inakua at Risk Sana
ingetokea ata moja tuu either Skrill , Netellar or anyone. PayPal doesn't work in Tanzania mda mrefu tuu
Ukijiunga na PayPal unadeposit na kutoa vipi pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nime experience ugumu wa kurejesha account ambayo nilitumia muda mrefu kidogo.

Issue ilikuwa hivi nilidondosha simu sijui wapi, nikapoteza na simcard humo humo ambayo ndo nilitumia kusajili PayPal nikaona haina shida number yenyewe sikuikalili isipokuwa tarakimu za mwisho, customer care wakazingua wakati waku renew enzi hizo Hakuna mambo ya kureport kwa police nikaipoteza.

Sasa Leo nalogin Kule PayPal napewa confirm kwa email na baada ya hapo nikafikiri nimemaliza nikashangaa wananambia malizia kukonfirm kwa phone number hapo nikasema Sina hiyo number ngoja nijaribu njia nyingine narudishwa kwenye phone number hapo ndo nikasema nimejipa hasara maana hata ukijaribu kuwasiliana nao wanataka uingie kwanza Kisha utumie Ile email yao vipi imekaaje hapa.

Hebu wadau wa PayPal Kama umewahi experience hii trouble umefanikiwa vipi kutatua kinachoniuma Ni zile pesa.

Embu kujeni mtoe solution.
Ukijiunga na PayPal unadeposit na kutoa vipi pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ipo verified na umesema kuna moment uli attempt sana..basi wacheki support desk
account ipo fully verified mkuu, kuna wakati nilikua najaribu ku log in kwa kutumia browser inagoma ila kwa kutumia App ya Skrill ilikuwa inakubali, sasa naona ile kujaribu mara nyingi bila mafanikio kwa kutumia browser imepelekea hili.


Account ipo verified na wamenipa star. labda kama kuna mjanja ame hack

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ipo verified na umesema kuna moment uli attempt sana..basi wacheki support desk

Sent using Jamii Forums mobile app
tiyari nimewacheki mkuu ila kama unavyojua wanachelewa ku respond, wanaweza kuchuku hata siku tatu hawajajibu emails, nitawapigia simu Jumatatu kwa namba zao za Uingereza japo ni gharama , vinginevyo watanichelewesha sana
 
mimi Skrill wananiambia account ipo Locked, na hiyo ni baada tu ya ku deposit kiasi kikubwa cha pesa kwa mara ya kwanza
Simple just verify mbona skrill simple tu kuverify najua changamoto ni home address, mimi uwa na photoshop bank statement yangu naongeza physical address
 
PayPal sijawahi kutumia
Na sidhan Kama unawez kutumia paypal Tanzania
Ukifungua kama uko Tanzania utadeposit na kununua vitu, ukidanganya kama uko mfano kenya utapokea na pesa sasa siku wakiifunga ndipo utakoma kuverify your identity and location
 
Simple just verify mbona skrill simple tu kuverify najua changamoto ni home address, mimi uwa na photoshop bank statement yangu naongeza physical address
ipo fully verified mkuu, kuna attempts nilifanya nadhani ndio wameamua ku lock
 
mimi Skrill wananiambia account ipo Locked, na hiyo ni baada tu ya ku deposit kiasi kikubwa cha pesa kwa mara ya kwanza
Hatimaye Jamaa wamenifungulia account yangu baada ya kujiridhisha .now naendelea na michakato yangu kama kawaida...

20200321_170241.jpg
20200321_170305.jpg
 
Unailink na account yako ya benki. Kutuma pesa inatoka kwenye account. Na ukitumiwa inaingia kwenye account pia. Huwezi toa kwa PayPal moja kwa moja.

Kwa hiyo nikitaka niwe naweza pia kutoa pesa (kupokea) malipo kupitia Paypal yangu natakiwa nifanyeje.
 
Kwa hiyo nikitaka niwe naweza pia kutoa pesa (kupokea) malipo kupitia Paypal yangu natakiwa nifanyeje.
Nafikiri ukienda kwenye "Wallet" kuna option ya kuwithdrawal itakayokuwezesha kuchagua hiyo account uliyoinlink. Then pesa zitatumwa kwenye account yako. Sijawahi kujaribu, maana ninaitumia kulipia tu. Ila nafikiri itakubali.
 
Back
Top Bottom