cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,409
- 137,045
Poleeeh sana sipigwi ban ng'ooooooh, Mbwaaaah weeeeeehWakupige ban kabisa ng'ombe wewe!
Poleeeh sana sipigwi ban ng'ooooooh, Mbwaaaah weeeeeehWakupige ban kabisa ng'ombe wewe!
Santee mwayaanimefurahi sana kukuona,karibu mnooo
Kumbuka hata hizo pesa za boom zinatokana na walipa kodi maskini wasio na elimu wanaolipa baadae zinatengwa kwa ajili ya mikopo ya university...Jamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.
Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi.
Huu naona ni wakati mwafaka wa kuacha chuo japo bado wiki 5 tu nimalize
Jamani hujaa tulikuwa tunasoma naye lkn kanywa sumu kafa.
R. I. P Umomi huu siyo utani. Dogo nilikuwa nafahamiana naye sana kafariki 28/07/2020 usiku
Nikitaja inakuwa siyo vzr
Kweli kafa usiku wa kuamkia janaUnasema Serious Mkuu ??
Usiku wa kuamkia jana then last seen yake ni jana elezea hapo.Kweli kafa usiku wa kuamkia jana
Sasa Bora Udsm wamewaheshimu kidogo wakawapa hiyo 306,000.
Udom wamepewa 263,500
Mzumbe ya Mbeya wamepewa 187,000
Inawezekana alikuwa online saa 6 za usiku kabla ya kujiuaUsiku wa kuamkia jana then last seen yake ni jana elezea hapo.
Ulimtabiria vibaya mwenzio,kanywa kweli...!Ushasahau kunywa sumu tena?!
Jaribu kuleta taarifa kamili sio nusunusu, ukweli jamaaa anamsongo wa mawazo mzito jana alini PM nimshauri nilimshauri vizuri.Inawezekana alikuwa online saa 6 za usiku kabla ya kujiua
Ushafanikisha sio!?Acha ujinga wewe unafikiria wengine hawana matatizo mbona yako madogo watu Wana makubwa na hawajafikiria kujiua, hyo kesho nitafte nikukorogee hyo sumu siumechoka kula ugali na kula mema ya nchi.
basi sawa.Naomba hiyo hela nitumie halafu ndo unywe sumu.
basi sawa.
Nimeuona uzi huyu jamaa kanywa sumu, naona ulienda kweli kumsaidia kukoroga sumu na kumtengea ainywe,Acha ujinga wewe unafikiria wengine hawana matatizo mbona yako madogo watu Wana makubwa na hawajafikiria kujiua, hyo kesho nitafte nikukorogee hyo sumu siumechoka kula ugali na kula mema ya nchi.