Yeaah cc tunajua ila hakuna namna acha tuwaangukie tyuuuh, yaan jana na4wadiwa km text, namchek huyu anan 4wad kwa mwingne nlkua km mpira wa kona, lakini lengo langu lilifanikiwa. Mtusamehe tyuuuh wallahHivi mnajua lakini kuwa hali ni ngumu kotekote eeh?
Wangesema tangu mwanzo watu wajipange kisaikolojia.Mjibane hivyo hivyo itoshe
wee dea acha tyuuh, unatazama hela unabaki kucheka tyuuuuh. Maan comedy sio ya nchii hii kulinganisha na uhalisia.Heslb imetoa laki 2
Ndo hapo sasa cha ajabu khaaahWangesema tangu mwanzo watu wajipange kisaikolojia.
Mbona ada na direct cost vimelipwa vyote bila kujali muda uliopunguzwa!?!
PoleniWangesema tangu mwanzo watu wajipange kisaikolojia.
Mbona ada na direct cost vimelipwa vyote bila kujali muda uliopunguzwa!?!
Watu wanaita vochawee dea acha tyuuh, unatazama hela unabaki kucheka tyuuuuh. Maan comedy sio ya nchii hii kulinganisha na uhalisia.
Tena tigo nusuWatu wanaita vocha
Kwamba bajeti ya boom imeenda kufanya kazi nyinginePoleni
Mkataba, walimu tuna mkataba wa kudumu. Nyie mkataba wenu mwalipwa kulingana na idadi ya siku za masomo.Kwamba bajeti ya boom imeenda kufanya kazi nyingine
Mbona walimu walikuwa nyumbani na walilipwa,hizi za wanachuo zinawauma sana!?!!
Aki kuna vitu vinachekeshakama movie
Bajeti za mihogo SasaTena tigo nusu
Acha tuTena tigo nusu
Mkataba Ni kupewa 2,080,000 kwa mwaka na mwaka wa masomo ulivyoanza walionyesha huo mkataba.Mkataba, walimu tuna mkataba wa kudumu. Nyie mkataba wenu mwalipwa kulingana na idadi ya siku za masomo.
wee acha tyuuh yaan inachekesha na kuhuzunisha at the same time,Bajeti za mihogo SasaView attachment 1516844
kuna best angu m1 yupo SUA wallah kapewa laki 1 na 70, yaan hadi nimebaki kupause tyuuhAcha tu
Wale wa mzumbe wakaona wawape laki
yaaqn ni commedy tyuuuh wallahMkataba Ni kupewa 2,080,000 kwa mwaka na mwaka wa masomo ulivyoanza walionyesha huo mkataba.
Kwanini wafokee wanafunzi na hela hizo??
Acha tu mkuu njoo kitaani *****Jamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.
Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi.
Huu naona ni wakati mwafaka wa kuacha chuo japo bado wiki 5 tu nimalize
Nacheka kama mazuriyaaqn ni commedy tyuuuh wallah
Heeekuna best angu m1 yupo SUA wallah kapewa laki 1 na 70, yaan hadi nimebaki kupause tyuuh