Walianza kudhibiti mikutano ya kisiasa, wakaja kwenye vyombo vya habari na hivi sasa wamehamia kwenye simu zetu binafsi!

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,480
30,152
Kama mkumbukavyo kauli ya Rais wa awamu hii ya tano, Mheshimiwa Magufuli kuzuia mikutano ya vyama vya kisiasa vya upinzani, alilolitoa mwaka 2016 na vyombo vya usalama kulichukulia tamko hilo kuwa ni sheria na Jeshi la Polisi, kuanza kukamata kila kiongozi wa upinzani ambaye alikuwa anataka kupingana na kauli hiyo ya Rais!

Akaja waziri wa Habari kuanza kuzuia urushaji mubashara wa vipindi vya televisheni, vilivyokuwa vikionyeshwa awali, kwa sisi wananchi kuwaangalia Live, wawakilishi wetu namna wanavyotutea Bungeni, nayo ikapigwa FULL STOP

Wakaja kwenye vyombo vya habari vya binafsi kuvidhibiti kwa hali ya juu, kwa chombo chochote cha habari kitakachotoa habari ambazo ni "negative" kwa serikali hii ya awamu ya tano, navyo vikaangukiwa na rungu la kufungiwa

Mifano michache ya magazeti yaliyofungiwa maisha ni Mwanahalisi,Mseto na Michapo

Lakini ambacho kimewastua watanzania wengi ni kuona kuwa kumbe hata simu zetu binafsi, zinaweza dukuliwa!

Mifano halisi, ni namna simu za watu mashuhuri nchi hii walivyodukuliwa siku zao, katika siku za hivi karibuni

Nimekuwa nikijiuliza hivi kumbe hawa jamaa wa TCRA hawana "private policy" kwenye mitandaoni yao??

Iweje kama mitandao yao INA hiyo "privacy policy" simu za hao watu mashuhuri ziweze dukuliwa??

Kama ndiyo hivyo, ni kwanini basi wameshindwa kudukua simu za waliokuwa wanapanga njama za kutaka kumwua mbunge wetu Tundu Lissu na badala yake hivi sasa yakaribia miaka miwili wameendelea kutuamimlnisha kuwa hao watu waliokuwa wamepanga jaribio hilo la mauaji, ni WATU WASIOJULIKANA!

Vile vie watu waliopanga njama za kumteka mwandishi wa habari Azory Gwanda, kule Rufiji ni lazima mawasiliano yao ya simu yapo kwa hao wadukuzi

Jambo ninalojiuliza ni kwa vipi hawataki "kulikisha" mawasiliano hayo na badala yake wanaendelea kutusminisha watanzania kuwa watu hao ni WATU WASIOJULIKANA??

Vile vile makampuni ya simu ni lazima waelewe kuwa biashara yao ya maongezi ya kwenye simu itaahirika sana, kwa kuwa hata Mimi nitaogopa kuongea na "mchepuko" wangu nikiamini kuwa NITADUKULIWA!
 
Hatuko salama, kuna baadhi ya watu wanadhani wako salama! Sawa, it is a matter of time. Tutagawana maumivu pamoja, saafi kabisa. MUNGU yupo
 
January alishiriki kwny kufanikisha Sheria kandamizi za Masuala ya mitandaoni akiwa N/waziri wa mawasiliano.

Nape alishiriki kwny kuzuia wananchi wasione BUNGE LIVE akiwa Waziri wa Habari.

So karma is a bitch,kila mtu apambane na hali yake.
 
January alishiriki kwny kufanikisha Sheria kandamizi za Masuala ya mitandaoni akiwa N/waziri wa mawasiliano.

Nape alishiriki kwny kuzuia wananchi wasione BUNGE LIVE akiwa Waziri wa Habari.

So karma is a bitch,kila mtu apambane na hali yake.
Hizo sheria mbovu walizoshiriki wenyewe kuzitunga na kuzipigia debe, ndizo zinazowatafuna hivi sasa!
 
January alishiriki kwny kufanikisha Sheria kandamizi za Masuala ya mitandaoni akiwa N/waziri wa mawasiliano.

Nape alishiriki kwny kuzuia wananchi wasione BUNGE LIVE akiwa Waziri wa Habari.

So karma is a bitch,kila mtu apambane na hali yake.
Haswaa!
 
Tunawaambia siku zote kuwa hao wabunge wa CCM wenye kusema Ndiyoooooo....

Hao ndiyo maadui wetu namba moja nchini, hivi inawezekanaje utunge sheria kwa lengo la kuukomoa upinzani??

Matokeo yake ndiyo haya sasa, sheria hizo zimewageukia wenyewe na kilichobaki ni kulia na kusaga meno!
 
January alishiriki kwny kufanikisha Sheria kandamizi za Masuala ya mitandaoni akiwa N/waziri wa mawasiliano.

Nape alishiriki kwny kuzuia wananchi wasione BUNGE LIVE akiwa Waziri wa Habari.

So karma is a bitch,kila mtu apambane na hali yake.
January makamba najua sasa unakesha humu jf. Hatuja sahau mambo yako na hatuta kusahau.

Ni muda wako sasa wa kulia kilio cha samaki
 
Kama mkumbukavyo kauli ya Rais wa awamu hii ya tano, Mheshimiwa Magufuli kuzuia mikutano ya vyama vya kisiasa vya upinzani, alilolitoa mwaka 2016 na vyombo vya usalama kulichukulia tamko hilo kuwa ni sheria na Jeshi la Polisi, kuanza kukamata kila kiongozi wa upinzani ambaye alikuwa anataka kupingana na kauli hiyo ya Rais!

Akaja waziri wa Habari kuanza kuzuia urushaji mubashara wa vipindi vya televisheni, vilivyokuwa vikionyeshwa awali, kwa sisi wananchi kuwaangalia Live, wawakilishi wetu namna wanavyotutea Bungeni, nayo ikapigwa FULL STOP

Wakaja kwenye vyombo vya habari vya binafsi kuvidhibiti kwa hali ya juu, kwa chombo chochote cha habari kitakachotoa habari ambazo ni "negative" kwa serikali hii ya awamu ya tano, navyo vikaangukiwa na rungu la kufungiwa

Mifano michache ya magazeti yaliyofungiwa maisha ni Mwanahalisi,Mseto na Michapo

Lakini ambacho kimewastua watanzania wengi ni kuona kuwa kumbe hata simu zetu binafsi, zinaweza dukuliwa!

Mifano halisi, ni namna simu za watu mashuhuri nchi hii walivyodukuliwa siku zao, katika siku za hivi karibuni

Nimekuwa nikijiuliza hivi kumbe hawa jamaa wa TCRA hawana "private policy" kwenye mitandaoni yao??

Iweje kama mitandao yao INA hiyo "privacy policy" simu za hao watu mashuhuri ziweze dukuliwa??

Kama ndiyo hivyo, ni kwanini basi wameshindwa kudukua simu za waliokuwa wanapanga njama za kutaka kumwua mbunge wetu Tundu Lissu na badala yake hivi sasa yakaribia miaka miwili wameendelea kutuamimlnisha kuwa hao watu waliokuwa wamepanga jaribio hilo la mauaji, ni WATU WASIOJULIKANA!

Vile vie watu waliopanga njama za kumteka mwandishi wa habari Azory Gwanda, kule Rufiji ni lazima mawasiliano yao ya simu yapo kwa hao wadukuzi

Jambo ninalojiuliza ni kwa vipi hawataki "kulikisha" mawasiliano hayo na badala yake wanaendelea kutusminisha watanzania kuwa watu hao ni WATU WASIOJULIKANA??

Vile vile makampuni ya simu ni lazima waelewe kuwa biashara yao ya maongezi ya kwenye simu itaahirika sana, kwa kuwa hata Mimi nitaogopa kuongea na "mchepuko" wangu nikiamini kuwa NITADUKULIWA!

Tuliwaambia tangia mwanzo hawa wapumbavu!

Msicheke wapinzani wanavyoonewa,yenyewe yakawa yanakenua tu!

Kamaliza huku nje,kawarudia humo ndani anawatafuna,

Hawapo salama kama walivyokua wanadhani!

Dikteta hua hana ile hali ya kushiba na kujua pa kuachia,hua anaenda tu bila kusimama!

Watauana wenyewe kwa wenyewe humo CCM....

Atakula tabaka fulani humo,akilimaliza litafuata lingine...

Mwisho kabisa ataanza kula na watu wake wa karibu kabisa,mwisho wa siku atabaki mwenyewe!

Na bado atakua paranoid hata na kivuli chake mwenyewe!

Ndio law ya udikteta!

He will never stop!
 
Muda si mrefu na kulala utafuatiliwa muda na ukikutwa mmesiamama kikundi pingu tuu
 
Tunawaambia siku zote kuwa hao wabunge wa CCM wenye kusema Ndiyoooooo....

Hao ndiyo maadui wetu namba moja nchini, hivi inawezekanaje utunge sheria kwa lengo la kuukomoa upinzani??

Matokeo yake ndiyo haya sasa, sheria hizo zimewageukia wenyewe na kilichobaki ni kulia na kusaga meno!
Kuna wawili natamani nao watumbuliwe ili waje tuzisome wote namba walizoshiriki kuziandika
 
Back
Top Bottom