Walianza European Union, wakaja World Bank kisha Denmark na Sweden wanajiandaa bado Finland hivi hatujagundua nini tatizo?

Makosa ya viongozi wetu kuendesha Nchi kwa misaada haibidilishi msimamo wangu tunaweza kujitawala na mimi ni mtu huru. Kama unaamini kuna binadamu pande Fulani za hii dunia akikutawala atakubadilisha maisha yako kwasababu upeo wako ni mdogo basi hongera for the slave mentality.

Kutoka 1961 hadi leo hii 2018 tunasaidiwa ' almost 65% to 75% ' na Mataifa Matajiri halafu bado kuna ' Mswahili ' mmoja anajitutumua kabisa kwa Kujidanganya kuwa tunaweza Kujiongoza wenyewe. Kuna muda mwingine Rais wa Marekani Trump akiwa anatutukana / anatudhihaki Waafrika huwa hakosei kabisa. Leo ndiyo nimeamini rasmi!
 
Kutoka 1961 hadi leo hii 2018 tunasaidiwa ' almost 65% to 75% ' na Mataifa Matajiri halafu bado kuna ' Mswahili ' mmoja anajitutumua kabisa kwa Kujidanganya kuwa tunaweza Kujiongoza wenyewe. Kuna muda mwingine Rais wa Marekani Trump akiwa anatutukana / anatudhihaki Waafrika huwa hakosei kabisa. Leo ndiyo nimeamini rasmi!
Hao wazungu kama wanajiamini wakate misaada yote Afrika iwe rahisi kwetu kuwaamsha Waafrika wenzetu wanaopenda vya bure. 1961 to 2018 kuna vizazi kama vinnee vimepita hapo Babu,Baba,Mtoto na Mjukuu bado wanatagemea msaada wa mzungu, siku wakitishia wanaisimamisha unakuta hata vyama vya upinzani ambavyo vinatakiwa kuwa mbadala wa kuleta maendeleo wakipata madaraka wanaenda Bungeni kulalamika. Hapo ndipo unagundua waafrika wengi kichwani hawapo huru hata wasomi.
 
Kwa ninavyowajua Wazungu ukiona tu wanaanza Kukutilia mashaka jua ya kwamba kuna mahala umekosea au unakosea mno na kwamba siku si nyingi wanaweza wakakuacha ili upambane mwenyewe na kwa ninavyojua hatuna ' ubavu ' wa Kijitawala wenyewe bila ' misaada ' ya Wazungu.

Kuna Mtu mmoja mpaka sasa hivi najiuliza anatumia ' Kizizi ' gani ambacho kinamfanya ' Bosi ' wake Taifa ' asimtumbue ' hapo alipo kwani siyo ' Siri ' tena kama kuna Mtu ambaye ameshaigharimu na anaendelea kuigharimu nchi hii ' dearly ' ni huyo huyo na nasikitika hadi sasa hivi bado ' anapuyanga ' tu na naambiwa hata juzi au jana alionekana Mkoa wa Jirani tu hapa usio wa Bahari ila una Bwawa Kubwa mno la Mindu.

Kwahiyo mnataka kusema kuwa Europena Union, World Bank, Denmark na Sweden wote hawa ni ' Mapopoma ' na wamekurupuka tu katika kusema yale yaliyomo ' mioyoni ' mwao na yanayowasibu? Namalizia kwa kusema ' Wazungu ' huwa hawakosei na hawabahatishi na kuna uwezekano mkubwa kuwa huu ni mwanzo tu ila kuna mahala ambapo ' watatuweza ' na ndipo mtatuheshimu Watu ambao kila mara tunadiriki kutumia mida yetu kwa nia njema tu wenye msukumo wa Kizalendo ' Kuwashaurini ' ila mnatudharau lakini mnawaamini ' Wanafiki ' mlio nao jirani ambao Kimsingi ndiyo wanawapelekeni ' chaka mbaya ' kabisa.

Yangu macho tu ila tujitafakari kwani bado hatujachelewa!

Nawasilisha.
Umaskini na njaa vinakusumbua ww..sio kosa lako!! Endelea kutumika kupigia debe mabwana zako..sisi hatuyumbishwi, tunajiamini...
 
Kwa ninavyowajua Wazungu ukiona tu wanaanza Kukutilia mashaka jua ya kwamba kuna mahala umekosea au unakosea mno na kwamba siku si nyingi wanaweza wakakuacha ili upambane mwenyewe na kwa ninavyojua hatuna ' ubavu ' wa Kijitawala wenyewe bila ' misaada ' ya Wazungu.

Kuna Mtu mmoja mpaka sasa hivi najiuliza anatumia ' Kizizi ' gani ambacho kinamfanya ' Bosi ' wake Taifa ' asimtumbue ' hapo alipo kwani siyo ' Siri ' tena kama kuna Mtu ambaye ameshaigharimu na anaendelea kuigharimu nchi hii ' dearly ' ni huyo huyo na nasikitika hadi sasa hivi bado ' anapuyanga ' tu na naambiwa hata juzi au jana alionekana Mkoa wa Jirani tu hapa usio wa Bahari ila una Bwawa Kubwa mno la Mindu.

Kwahiyo mnataka kusema kuwa Europena Union, World Bank, Denmark na Sweden wote hawa ni ' Mapopoma ' na wamekurupuka tu katika kusema yale yaliyomo ' mioyoni ' mwao na yanayowasibu? Namalizia kwa kusema ' Wazungu ' huwa hawakosei na hawabahatishi na kuna uwezekano mkubwa kuwa huu ni mwanzo tu ila kuna mahala ambapo ' watatuweza ' na ndipo mtatuheshimu Watu ambao kila mara tunadiriki kutumia mida yetu kwa nia njema tu wenye msukumo wa Kizalendo ' Kuwashaurini ' ila mnatudharau lakini mnawaamini ' Wanafiki ' mlio nao jirani ambao Kimsingi ndiyo wanawapelekeni ' chaka mbaya ' kabisa.

Yangu macho tu ila tujitafakari kwani bado hatujachelewa!

Nawasilisha.
Kula Like yangu kwa mara ya kwanza
 
22
Kwa ninavyowajua Wazungu ukiona tu wanaanza Kukutilia mashaka jua ya kwamba kuna mahala umekosea au unakosea mno na kwamba siku si nyingi wanaweza wakakuacha ili upambane mwenyewe na kwa ninavyojua hatuna ' ubavu ' wa Kijitawala wenyewe bila ' misaada ' ya Wazungu.

Kuna Mtu mmoja mpaka sasa hivi najiuliza anatumia ' Kizizi ' gani ambacho kinamfanya ' Bosi ' wake Taifa ' asimtumbue ' hapo alipo kwani siyo ' Siri ' tena kama kuna Mtu ambaye ameshaigharimu na anaendelea kuigharimu nchi hii ' dearly ' ni huyo huyo na nasikitika hadi sasa hivi bado ' anapuyanga ' tu na naambiwa hata juzi au jana alionekana Mkoa wa Jirani tu hapa usio wa Bahari ila una Bwawa Kubwa mno la Mindu.

Kwahiyo mnataka kusema kuwa Europena Union, World Bank, Denmark na Sweden wote hawa ni ' Mapopoma ' na wamekurupuka tu katika kusema yale yaliyomo ' mioyoni ' mwao na yanayowasibu? Namalizia kwa kusema ' Wazungu ' huwa hawakosei na hawabahatishi na kuna uwezekano mkubwa kuwa huu ni mwanzo tu ila kuna mahala ambapo ' watatuweza ' na ndipo mtatuheshimu Watu ambao kila mara tunadiriki kutumia mida yetu kwa nia njema tu wenye msukumo wa Kizalendo ' Kuwashaurini ' ila mnatudharau lakini mnawaamini ' Wanafiki ' mlio nao jirani ambao Kimsingi ndiyo wanawapelekeni ' chaka mbaya ' kabisa.

Yangu macho tu ila tujitafakari kwani bado hatujachelewa!

Nawasilisha.
 
wanaowaza kwa makalio tu ndio wanaweza kuamini kwamba hatuna uwezo wa kujitawala

kwani marekani na uchina zimefika hapo zilipo sasa kwa kutegemea misaada?

Ifike mahali hata historia ya form two itusaidie kutambua kwamba hizo wanazoziita structural readjustment programs ambazo ni pamoja na hiyo misaada ya kuilemaza afrika, viliandaliwa kimkakati na wazungu kuhakikisha hatusongi mbele bali tuzunguke mle mle kwenye duara la umaskini

Wanaume Afrika ukiacha Mugabe namba mbil ni sisi, Ukitaka ushoga uje kwnza tukuoe
Wewe unafikiri kujitegemea ni mchezo kama wa kuhama vyama!?? Hivi una habari hata Dawa za kupunguza makali ya ukimwi ARV ni mzungu anawasaidia!?? Hivi hujui hata chanjo ni msaada!??. Aiseee acha kuropoka ndugu muulize mugabe !!!! Wachina na wamarekani sio wajinga kama nyie ndio maana wamefika hapo walipo!!!
Pia wewe unaangalia ushoga vipi nayo mengine wanayo tutuhumu nayo!???kwa ufupi tuu hakuna taifa la afrika linaweza shindana na wazungu wakiamua hata wewe utaguswa !!!
 
Sisi kama nchi hatuna tatizo,tatizo liko kwao.Hawataki tu-control uchumi wetu,they want to control it,that is unacceptable.
 
Wewe unafikiri kujitegemea ni mchezo kama wa kuhama vyama!?? Hivi una habari hata Dawa za kupunguza makali ya ukimwi ARV ni mzungu anawasaidia!?? Hivi hujui hata chanjo ni msaada!??. Aiseee acha kuropoka ndugu muulize mugabe !!!! Wachina na wamarekani sio wajinga kama nyie ndio maana wamefika hapo walipo!!!
Pia wewe unaangalia ushoga vipi nayo mengine wanayo tutuhumu nayo!???kwa ufupi tuu hakuna taifa la afrika linaweza shindana na wazungu wakiamua hata wewe utaguswa !!!
think out of the box mkuu, yani mzungu aingie maabara akutengenezee ukimwi(ushahidi upo hata kwa ku gugo), halafu akupe dawa ya kupunguza makali wewe unainua kalio juu unashangilia na kumsifu?

Hii inanikumbusha zamani kijijini tulikua tunanawa miguu halafu tunakanyaga chini sijui tulimaanisha nini?
 
Kwa ninavyowajua Wazungu ukiona tu wanaanza Kukutilia mashaka jua ya kwamba kuna mahala umekosea au unakosea mno na kwamba siku si nyingi wanaweza wakakuacha ili upambane mwenyewe na kwa ninavyojua hatuna ' ubavu ' wa Kijitawala wenyewe bila ' misaada ' ya Wazungu.

Kuna Mtu mmoja mpaka sasa hivi najiuliza anatumia ' Kizizi ' gani ambacho kinamfanya ' Bosi ' wake Taifa ' asimtumbue ' hapo alipo kwani siyo ' Siri ' tena kama kuna Mtu ambaye ameshaigharimu na anaendelea kuigharimu nchi hii ' dearly ' ni huyo huyo na nasikitika hadi sasa hivi bado ' anapuyanga ' tu na naambiwa hata juzi au jana alionekana Mkoa wa Jirani tu hapa usio wa Bahari ila una Bwawa Kubwa mno la Mindu.

Kwahiyo mnataka kusema kuwa Europena Union, World Bank, Denmark na Sweden wote hawa ni ' Mapopoma ' na wamekurupuka tu katika kusema yale yaliyomo ' mioyoni ' mwao na yanayowasibu? Namalizia kwa kusema ' Wazungu ' huwa hawakosei na hawabahatishi na kuna uwezekano mkubwa kuwa huu ni mwanzo tu ila kuna mahala ambapo ' watatuweza ' na ndipo mtatuheshimu Watu ambao kila mara tunadiriki kutumia mida yetu kwa nia njema tu wenye msukumo wa Kizalendo ' Kuwashaurini ' ila mnatudharau lakini mnawaamini ' Wanafiki ' mlio nao jirani ambao Kimsingi ndiyo wanawapelekeni ' chaka mbaya ' kabisa.

Yangu macho tu ila tujitafakari kwani bado hatujachelewa!

Nawasilisha.
Watakuelewa kweli?
 
Sisi bado ni omba omba na hao WB tuliwaita na kuwabembeleza na kuwahakikishia
Kwani bila msaada hatuwezi kuishi?
Hivi nchi kama Nepal, Bangladesh, Mongolia, Krygystan, Burma, Bahrain, Brunei, Cuba nk zinapata misaada kutoka Ulaya?
 
“.Ndani Ya Utawala Wangu Kama Rais Hakuna Mwenye Mimba Atakayerudi Shuleni.”



World Bank- Nyinye Nyanyo nyio nyunyinyu nyanyi Nyoko Nyonjinyo Njuyu Shwainnnnn
 
Kwa ninavyowajua Wazungu ukiona tu wanaanza Kukutilia mashaka jua ya kwamba kuna mahala umekosea au unakosea mno na kwamba siku si nyingi wanaweza wakakuacha ili upambane mwenyewe na kwa ninavyojua hatuna ' ubavu ' wa Kijitawala wenyewe bila ' misaada ' ya Wazungu.

Kuna Mtu mmoja mpaka sasa hivi najiuliza anatumia ' Kizizi ' gani ambacho kinamfanya ' Bosi ' wake Taifa ' asimtumbue ' hapo alipo kwani siyo ' Siri ' tena kama kuna Mtu ambaye ameshaigharimu na anaendelea kuigharimu nchi hii ' dearly ' ni huyo huyo na nasikitika hadi sasa hivi bado ' anapuyanga ' tu na naambiwa hata juzi au jana alionekana Mkoa wa Jirani tu hapa usio wa Bahari ila una Bwawa Kubwa mno la Mindu.

Kwahiyo mnataka kusema kuwa Europena Union, World Bank, Denmark na Sweden wote hawa ni ' Mapopoma ' na wamekurupuka tu katika kusema yale yaliyomo ' mioyoni ' mwao na yanayowasibu? Namalizia kwa kusema ' Wazungu ' huwa hawakosei na hawabahatishi na kuna uwezekano mkubwa kuwa huu ni mwanzo tu ila kuna mahala ambapo ' watatuweza ' na ndipo mtatuheshimu Watu ambao kila mara tunadiriki kutumia mida yetu kwa nia njema tu wenye msukumo wa Kizalendo ' Kuwashaurini ' ila mnatudharau lakini mnawaamini ' Wanafiki ' mlio nao jirani ambao Kimsingi ndiyo wanawapelekeni ' chaka mbaya ' kabisa.

Yangu macho tu ila tujitafakari kwani bado hatujachelewa!

Nawasilisha.

Kama hujui unataka nini, kila wasemalo wengine ni sawa. Wanachokitaka EU, WORLD BANK, DENMARK na wengine ndicho tunachotaka sisi Tanzania?
 
wanaowaza kwa makalio tu ndio wanaweza kuamini kwamba hatuna uwezo wa kujitawala

kwani marekani na uchina zimefika hapo zilipo sasa kwa kutegemea misaada?

Ifike mahali hata historia ya form two itusaidie kutambua kwamba hizo wanazoziita structural readjustment programs ambazo ni pamoja na hiyo misaada ya kuilemaza afrika, viliandaliwa kimkakati na wazungu kuhakikisha hatusongi mbele bali tuzunguke mle mle kwenye duara la umaskini

Wanaume Afrika ukiacha Mugabe namba mbil ni sisi, Ukitaka ushoga uje kwnza tukuoe
China ina historia ndefu sana dunia hii, jamaa walikuwa na uwezo wa technolojia na elimu karne za mwanzo kabisa, Nchi za Afrika ni ngumu kutoka hapa zilipo kwenda kuzifuata nchi za dunia ya 2, lazima akili na tabia zetu zibadilike. Wachina ni wavumilivu sana na serikali inadhamini matunda ya wananchi kufanya kazi kwa bidii, sisi Waafrika tukipata fursa tunajineemesha na familia na ndugu wa karibu tunaicha jamii inaangaika.
 
Hao wazungu kama wanajiamini wakate misaada yote Afrika iwe rahisi kwetu kuwaamsha Waafrika wenzetu wanaopenda vya bure. 1961 to 2018 kuna vizazi kama vinnee vimepita hapo Babu,Baba,Mtoto na Mjukuu bado wanatagemea msaada wa mzungu, siku wakitishia wanaisimamisha unakuta hata vyama vya upinzani ambavyo vinatakiwa kuwa mbadala wa kuleta maendeleo wakipata madaraka wanaenda Bungeni kulalamika. Hapo ndipo unagundua waafrika wengi kichwani hawapo huru hata wasomi.
Nishasema Afrika hatuna uvumilivu na hii inatokana na viongozi wetu wanajiangalia wao tu, tunatabia na kuwekeza katika mambo ambayo hayatusaidii, mfano ni aibu hadi leo hatuna processing industries za kutosha katika mazao tunayolima wenyewe. Napo tunasubiri mzungu aje kutuambi kujenga? India hadi leo kuna reli za karne ya 19 na zinabeba watu na mizigo sisi tunajenga reli mpya sawa lakini running cost yake tumeshajiuliza itakuwaje? Mabasi Ya BRT ni study tosha kwetu kuwa bado mifuko yetu haina pesa ya kutosha kujiendesha. Jifikirie unalipa Nauli 650Tsh je hilo bus litajiendesha kwa garama hiyo? Kwenye Ndege napo ni yaleyale.
Je tungejenga viwanda vya kuchakata bidhaa za mazao yetu na ili wananchi wawe na pesa ya kuendesha uchumi ingefika mahali watu na pesa waliyonayo hizo ndege, treni za umeme zingejengwa watu wangepanda kwa wingi.
 
Back
Top Bottom