Walevi tukutane hapa.

kagombe

JF-Expert Member
Mar 1, 2015
3,507
1,640
pombe tunakunywa kwa starehe. ila kina mda matatizo. sasa kama mimi siwezi lala bila kugida. nipolewa nitaona mpk marehemu wachawi misitu na wanyama wakutisha.tuambie yako
af0dc5269d3af7039be8d8ccb2a64022.jpg
 
Pombe naipenda sana maana ilifanya niwe na ujasiri wa kuwa hapa nilipo sababu ya pombe

Konyagi
 
Wote waliocoment hapa utawajua tu ila vyuma vimekaza mhudumu nipe Senetar ya 1000 ya baridi itapendeza zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom