Walete by Godzilla ft Young Dee,,Leo tarehe15 Feb ni Jiwe la wiki XXL Clouds FM..

princemikazo

JF-Expert Member
Jan 10, 2019
2,197
2,051
Xtra Xtra Large(XXL) ya Clouds FM ikiongozwa na Bdozen akiwa na Adam Mchomvu,Kenedy the Remedy,Perfect Crispin,Mamy Baby na DJ Scrath Designer,,Wameamua kuipa ngoma ya Marehem Godzilla aliyomshirisha Young Dee inayoitwa Walete kama jiwe la wiki leo Tarehe15,,Young Dee atakua live kwenye XXL Crazy Furahidei,,Hii imekaaje Wadau wanasubili mtu anadanja ndo wanafanya hivi..Kwann hawakufanya alipokua hai???

@ChaliiYaKijengeJuu
 
Unajua kuna vitu watu wanaongea ongea bila hata kutumia comon sense, ilitokea kwa mangwea na langa pia, yaani nyimbo za ngwea zilivyokuwa zinapigwa watu walilalamika eti walisubili afe. Kitendo cha mtu kufa kina amsha hisia za watu kwenye kila kitu alichofanya, ndio maana hata michael jackson aliuza sana dakika chache baada ya habari ya kifo chake. Inshort watu watahitaji sana kwa sasa kupata information za godzila kuliko hata za wasafi. Hivyo hakuna ubaya.
 
Mkuu hebu acha uongo bwana!
Jiwe la wiki ilikua ngoma ya young D!
Huo wimbo unaosema wameucheza mida flani tu baada ya kuuliza maswali flan kwa youngd kuhusu zilla!

Halafu mchomvu hakuwepo!

Wanaume wa dar bwana mna chuki kweli sijui Kwanini!
 
Mzee baba jiwe la wiki ilikuwa nyimbo ya paka rappa.

Hiyo walete imepigwa kwamba ndo nyimbo kali aliyoitoa kabla ya kifo.

Usidhani unasikiliza xxl pekeako!
 
Mkuu hebu acha uongo bwana!
Jiwe la wiki ilikua ngoma ya young D!
Huo wimbo unaosema wameucheza mida flani tu baada ya kuuliza maswali flan kwa youngd kuhusu zilla!

Halafu mchomvu hakuwepo!

Wanaume wa dar bwana mna chuki kweli sijui Kwanini!
Umeona huyu chalii alivyomzushi!
Mchomvu yupo kwenye production ya kipindi chake cha baadae #sosofresh
 
Haya uzi unafungiwa hapa. Jamaa amekurupuka!
------------------------------------------------------------------------
 
Kumbe Clouds Fm inasikilizwa hivi??

Anyway Jiwe la wiki haikuwa ngoma ya Zilla ilikuwa ya Young Dee
 
Iko iviii...Dozen ali anounce Alhamisi kuwa ijumaa jiwe la wiki itakua walete lakin nikashangaa ikawa tena iyo "Noma kweli"Sijui labda aliongea ili Ku-grab atention and all that,Yeah
 
Mkuu hebu acha uongo bwana!
Jiwe la wiki ilikua ngoma ya young D!
Huo wimbo unaosema wameucheza mida flani tu baada ya kuuliza maswali flan kwa youngd kuhusu zilla!

Halafu mchomvu hakuwepo!

Wanaume wa dar bwana mna chuki kweli sijui Kwanini!
Najua mkuu mchomvu haingiagi ijumaa because of So so fresh,,Ila dozen ali anounce ivo but ikawa ile ya ya young Dee'Noma kweli'cjui labda aliongea ili ku-grab atention au vp!
 
Back
Top Bottom