Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mwenyekiti wa chama cha walemavu Dar Hamad Abdallah Komboza akiongea na waandishi wa habari amehoji polisi kutumia nguvu nyingi kuwapiga kiasi kile na kusema hii haijawahi kutokea awamu yoyote ile ila ni awamu hii na kusema watawaombea dua ili Mungu awape viongozi walionyanyasa walemavu nao wapate ulemavu pia.
Wamesema wanaomba wapewe eneo lao la kufanyia biashara kwa kuwa wao ni kundi maalumu na pia hata namna ya kushughulika nao ingekuwa maalumu na watangulize utu kwanza na sio sheria kwanza
Ameomba jeshi la polisi liwaombe radhi kwa kitendo walichofanyiwa
Wahanga wapewe fidia
Na askari waliofanya kitendo kile wachukuliwe hatua na iwe mwanzo na mwisho kufanyiwa hivyo
Wamesema wanaomba wapewe eneo lao la kufanyia biashara kwa kuwa wao ni kundi maalumu na pia hata namna ya kushughulika nao ingekuwa maalumu na watangulize utu kwanza na sio sheria kwanza
Ameomba jeshi la polisi liwaombe radhi kwa kitendo walichofanyiwa
Wahanga wapewe fidia
Na askari waliofanya kitendo kile wachukuliwe hatua na iwe mwanzo na mwisho kufanyiwa hivyo