mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,796
- 105,927
Unakumbuka wale wazee wa jumuiya afrika mashariki walivyofanywa mpaka sasa hawana hamu na askariPolisi akili zao wanazijua wenyewe ..
Ova
Unakumbuka wale wazee wa jumuiya afrika mashariki walivyofanywa mpaka sasa hawana hamu na askariPolisi akili zao wanazijua wenyewe ..
Kwn nape ni mpinzani!
Sisi tutakuwa watu milioni sita na kila MTU atakuwa mawe sita mkononi...umeshawahi kuona vita ya mawe watatelekeza mikwasa
Hivi wewe ni mtu mzima kweli au bado upo kwenye 'foolish age'?Waache ujinga ule waliofanya siku ile vinginevyo watapigwa tu.
Utimamu wa maungo ya mwili usikupe upofu wa fikra!Vaa hitilafu zao za kimaumbile moyoni halafu onja ladha yake.Waache ujinga ule waliofanya siku ile vinginevyo watapigwa tu.