Masanyiwa Mabula
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 954
- 982
Hii serikali naijua vizuri ilivyokatili, lengo lilikuwa kuwaua ili ikusanye rambi rambiHaya CHADEMA, dili ingine hiyo. Sheria zinasema aeiou, wengine wanaganya babebibobu. Sheria inapochukua mkondo wake, hooo serikali dhalimu.