Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,519
Daah mkuu inamaana seĺler hajakutumia pdf attachment via email?Mkuu nimetoka kuchukua Redmi 7A kwa ajili ya wife
Lakini upepo wa TRA umenipiga jumla 42,000, hata simu yenyewe naipokea bila furaha
Nimefika mapokezi muhudumu ananiuliza ww ni mgeni? Nikamjibu ndio!
Akasema tuone mtandao ulionunulia tujue Bei ya mzigo, nikazuga seller hajatuma Bei
Akasema akikutumia urudi tucheki..
Sikua na jinsi ikabidi nimfungulie simu akachukua acheki Bei halisi
wamenivua 42,000 TZS hiyo
Au alikuwa hatoi ushirikiano??
** Muhimu tusisitize seller anapotuma mzigo akutumie kabisa declaration value maana hawajamaa wa TRA midà mingine wanakomoa.
Baadae nitaweka attachment hapa