Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,460
小米 ( xiaomi / xiăomĭ ) is composed of these characters: 小 (xiao) , 米 (mi) in Swahili (shao-mi)inatamkwaje hiyo "Xiaomi"
Mtaalamu wetu nimeagiza mzigo huu hapa, je unauelezeaje kwa jinsi unavyoufahamu labda?小米 ( xiaomi / xiăomĭ ) is composed of these characters: 小 (xiao) , 米 (mi) in Swahili (shao-mi)
Redmi 7A, redmi 7, redmi 8AKwa budget ya 280k kushuka or less napata xiaomi gani kaliiiiiiii
Hapo redmi 7 naona itanifaaRedmi 7A, redmi 7, redmi 8A
Ni simu ambayo nimebahatika kuitumia kwa muda kidogo, kwa bei yake hautojutia kuimiliki, ipo vizuri kuanzia kwenye performance kwa mid users, build quality pia camera nzuri kwa bei hiyo naona ni bora sana. Kwa watu waliozoea hizi simu pendwa za Tekno wakiiona lazima udenda uwatoke yaani kila mtu alikuwa akiiona anauliza hii ni simu gani?? Na wanaazima wapigie picha. Hautojutia hakika! Kwenye Mapungufu yapo ila kwa bei hiyo naweza kusema haina mapungufu.Mtaalamu wetu nimeagiza mzigo huu hapa, je unauelezeaje kwa jinsi unavyoufahamu labda?View attachment 1225969View attachment 1225971View attachment 1225972View attachment 1225973View attachment 1225975
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Hiyo bei kubwa sanaMtaalamu wetu nimeagiza mzigo huu hapa, je unauelezeaje kwa jinsi unavyoufahamu labda?View attachment 1225969View attachment 1225971View attachment 1225972View attachment 1225973View attachment 1225975
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Hiyo bei kubwa sana
Mkuu nipo nje ya mada kidogoRedmi note 7 Pro inauzwa
Ram 6GB
Storage 128 GB
Battery 4000mAh
Bei 600,000 Tsh.
Imenunuliwa July mwishoni.
Haina scratch yoyote.
Kila kitu kipo, utapewa mpaka risiti.
Sababu ya kuuza:Nataka hela nimefulia
Simu iko Dar
Mawasiliano:natokahapa@gmail.com au PM
View attachment 1226353View attachment 1226354View attachment 1226355View attachment 1226356View attachment 1226357View attachment 1226358View attachment 1226359View attachment 1226360
Hiyo ni Samsung font.Mkuu nipo nje ya mada kidogo
Hiyo font nimeipenda inaitwaje?
Umeipata wapi?
Nielekeze mkuu kama hutojaliHiyo ni Samsung font.
Namna ya kuiweka inahitaji mautundu kidogo
Kukuelekeza ni mlolongo mrefu kidogo.Nielekeze mkuu kama hutojali
Sawa mkuuKukuelekeza ni mlolongo mrefu kidogo.
Cha kufanya ingia mtandaoni andika how to use Samsung fonts on Xiaomi phones watakuelekeza A-Z, nami nilisoma mtandaoni tu
naona ni chinese ROM haisumbui google play store?Redmi note 7 Pro inauzwa
Ram 6GB
Storage 128 GB
Battery 4000mAh
Bei 600,000 Tsh.
Imenunuliwa July mwishoni.
Haina scratch yoyote.
Kila kitu kipo, utapewa mpaka risiti.
Sababu ya kuuza:Nataka hela nimefulia
Simu iko Dar
Mawasiliano:natokahapa@gmail.com au PM
View attachment 1226353View attachment 1226354View attachment 1226355View attachment 1226356View attachment 1226357View attachment 1226358View attachment 1226359View attachment 1226360
Hiyo bei kubwa sana
Mzigo kuwa FGN au DP inategemea na tracking number utakayopewa, nikimaanisha kama seller atakutumia mzigo kawaida au kama Regista.
Kwa uzoefu wangu mimi FGN inakuwa mizigo ile niliyolipia shipping na tracking number yake inakuwa inaanza na R (RP au RB kutegemea kama mzigo umetumwa na China Post au Singapore post) kuna ile ya LP pia nimepokea kama FGN.
DP inakuwaga sana sana ile mizigo yenye tracking number zinazoanza na U (UC/UN/UG) hii ndio ile mizigo yetu inayochukuwa miezi kuwasili. Na hapa kuna mawili kuna ile mizigo unapokea (kwa Dar pale posta makao makuu) kule counter number kumi na Private bag, sasa hapa sielewagi maana kuna mizigo nanunua kutoka eBay na shipping nalipa bei kubwa sana alafu napokea Private bag na bado natoa 2350.
RDP hii mara nyingi ni mizigo ile ya bei kubwa au ina vitu kama nguo, viatu, begi au electronics ambayo inaonekana taxable na TRA. Tracking number yake pia inakuwa inaanza na R. Kwa mimi mizigo yangu iliyoingia huku ilikuwa na tracking number ya (RF, RY, RV) QUOTE]
Kama unakichwa chepesi angalia hii video,Mkuu nipo nje ya mada kidogo
Hiyo font nimeipenda inaitwaje?
Umeipata wapi?