BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,110
Kuna seller wako fasta sana
Sellers huwa wazito kukujibu, Ila wao sasa wakiwa na shida na wewe wanakuchangamkia balaa. Mi niliagiza Xiaomi Mi Store, yalibaki kama masaa 3 muda wa kuprocess kuisha na ye bado hajatuma mzigo, mbona nilipigiwa WhatsApp call saa 12 asubuhi.