KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kwenye hiyo link ya aliexpress, kwenye hizo simu za Realme.Lugha gani?
Kwenye hiyo link ya aliexpress, kwenye hizo simu za Realme.Lugha gani?
Bahati yako mbaya mzigo ulitiliwa mashaka mkuu.
Some time umwambiage seller akutumie Declaration value invoice via email.
Pale pale unapochukulia mzigo kuna ofisi za customs.Customs wameweka mateka mzigo wangu
Naomba mnisaidie ofisi naweza pata huu mzigo ni wapi View attachment 1224093
Hii ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuagiza mzigo online so sikuwa na experience ya kutosha. Mzigo nimeununua kama 450K. Sikuwa najua seller kaandika sh ngapi kwenye mzigo wangu. Customs nikaulizwa umenunua sh ngapi nikasema laki mbili na nusu hapo nikawa nahofia pengine seller kaandika actual price nikaonekana muongo. Basi nikapigiwa mahesabu based on hiyo 250K, ambayo nikalipia 52K. Ile nimekuja pewa mzigo wangu nilijiona mjinga sana aisee. Kumbe seller kaandika thamani ya mzigo ni USD 40.
Pale pale unapochukulia mzigo kuna ofisi za customs.
jamani naomba mtalaamu anaeweza kuunlock redmi note 6 pro iliyolocked na mi account mafundi wa mwanza wameshindwa, namba yangu 0765682453 nipo mwanza
Pia usiogope sana, kuna mizigo yangu mingine ilishikwa customs lakini nikaipata bila kodi.
We nenda pale wanapotrack mzigo watakupa kikaratasi uende ukalipie. Hapo utalipia gharama za kutoa mzigo posta, ambazo kuanzia tar 1 ya juzi ni 5900 badala ya 2500 iliyokuwa zamani. Baada ya kulipia utaambiwa uende ukasubiri mzigo ambapo ni sehemu ya Customs. Utaitwa jina lako, kisha utaoneshwa mzigo wako. Bahati ikiwa yako utaulizwa huu mzigo una thamani gani ?. Hapo sasa ndo mahali pako pa kujidai incase ukipata nafasi kama hiyo. Mtajie bei ambayo itakuwa rafiki kwako. Ukumbuke bei utakayotaja watakupigia hesabu hapo. Ni kama 21% ya bei utakayotaja.Dah! Sasa mkuu Nisaidie mbinu wasinifyeke kupitiliza
We nenda pale wanapotrack mzigo watakupa kikaratasi uende ukalipie. Hapo utalipia gharama za kutoa mzigo posta, ambazo kuanzia tar 1 ya juzi ni 5900 badala ya 2500 iliyokuwa zamani. Baada ya kulipia utaambiwa uende ukasubiri mzigo ambapo ni sehemu ya Customs. Utaitwa jina lako, kisha utaoneshwa mzigo wako. Bahati ikiwa yako utaulizwa huu mzigo una thamani gani ?. Hapo sasa ndo mahali pako pa kujidai incase ukipata nafasi kama hiyo. Mtajie bei ambayo itakuwa rafiki kwako. Ukumbuke bei utakayotaja watakupigia hesabu hapo. Ni kama 21% ya bei utakayotaja.
We nenda pale wanapotrack mzigo watakupa kikaratasi uende ukalipie. Hapo utalipia gharama za kutoa mzigo posta, ambazo kuanzia tar 1 ya juzi ni 5900 badala ya 2500 iliyokuwa zamani. Baada ya kulipia utaambiwa uende ukasubiri mzigo ambapo ni sehemu ya Customs. Utaitwa jina lako, kisha utaoneshwa mzigo wako. Bahati ikiwa yako utaulizwa huu mzigo una thamani gani ?. Hapo sasa ndo mahali pako pa kujidai incase ukipata nafasi kama hiyo. Mtajie bei ambayo itakuwa rafiki kwako. Ukumbuke bei utakayotaja watakupigia hesabu hapo. Ni kama 21% ya bei utakayotaja.
Kabla kuja humu niliwacheck jamaa wakajibu watafuatilia kwanini parcel inalandalanda then wangenijuza but ikawa ndo kimya!!!Nadhani kuna shida kwenye uandishi wa anwani.
Chakufanya, wapigie TPC hq, wape hiyo tracking number na wape maelekezo na mzigo utakufikia.
au Fika wewe binafsi posta mpya waonyeshe hiyo print out na watakusaidia kuutafuta huo mzigo na utakabidhiwa.
Kama ni kweli basi itakuwa ndio mwisho wa kuagiza vitu vidogo vidogo kama SD card na flash au ikibidii labda kuanzia 5pcs !!Duuuh Bei imepanda hivyo..!? Toka 1500=5900
Washaanza kuzitolea macho hizi xiaomi!!!Customs wameweka mateka mzigo wangu
Naomba mnisaidie ofisi naweza pata huu mzigo ni wapi View attachment 1224093
Yani mimi mwenyewe hadi nimeingia uvivu aise kuorder Vitu online...Kama ni kweli basi itakuwa ndio mwisho wa kuagiza vitu vidogo vidogo kama SD card na flash au ikibidii labda kuanzia 5pcs !!
Washaanza kuzitolea macho hizi xiaomi!!!
hapo usikute watu wa Tecno ndio wameloga kwamba MI zinaingia kimagumash na kuwavurugia soko lao.
Jamaa huwa hawajibu mapema Ila seller wengine haizidi SAA 1 umeshajibiwa tayari.Shida namtafuta seller fantacy kupitia profile yake ya AliExpress ili nipate Bei aliyoandika ila hajajibu hadi sasa
Sasa sijui kuna njia nyingine naweza tumia kumpata
Sellers huwa wazito kukujibu, Ila wao sasa wakiwa na shida na wewe wanakuchangamkia balaa. Mi niliagiza Xiaomi Mi Store, yalibaki kama masaa 3 muda wa kuprocess kuisha na ye bado hajatuma mzigo, mbona nilipigiwa WhatsApp call saa 12 asubuhi.Shida namtafuta seller fantacy kupitia profile yake ya AliExpress ili nipate Bei aliyoandika ila hajajibu hadi sasa
Sasa sijui kuna njia nyingine naweza tumia kumpata
Jamaa huwa hawajibu mapema Ila seller wengine haizidi SAA 1 umeshajibiwa tayari.
Haina jinsi yabidi ujiongeze mwenyewe kwa jamaa was TRA