Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,446
- 2,486
Hiyo hapokwahyo ni level za Tecno
Hiyo hapokwahyo ni level za Tecno
Hii mbona ni redmi note 8 pro.!!
kwahyo ni level za Tecno
Hii mbona ni redmi note 8 pro.!!
Umidigi sio level ya Tecno mkuu, hizi zenyewe wanajitahidi kwenye build quality pia kuweka zile MTK chipset zenye nguvu kabisa ambazo Tecno hawaweki kwenye hata flagship zao. Mfano Umidigi X imeipita kila idara Tecno Phantom 9 simu ya laki saba wakati Umidigi X unaipata around laki tano na ushee.kwahyo ni level za Tecno
A5 pro ina bei gani?Umidigi sio level ya Tecno mkuu, hizi zenyewe wanajitahidi kwenye build quality pia kuweka zile MTK chipset zenye nguvu kabisa ambazo Tecno hawaweki kwenye hata flagship zao. Mfano Umidigi X imeipita kila idara Tecno Phantom 9 simu ya laki saba wakati Umidigi X unaipata around laki tano na ushee.
View attachment 1204615View attachment 1204616
A5 pro na Xiaomi redmi 6 ipi kali?Umidigi sio level ya Tecno mkuu, hizi zenyewe wanajitahidi kwenye build quality pia kuweka zile MTK chipset zenye nguvu kabisa ambazo Tecno hawaweki kwenye hata flagship zao. Mfano Umidigi X imeipita kila idara Tecno Phantom 9 simu ya laki saba wakati Umidigi X unaipata around laki tano na ushee.
View attachment 1204615View attachment 1204616
Sawa Chief. Vitu vya kuzingatia kufanya mpaka kuagiza mzigo mtandaoni ni kama ifuatavyo:-Chief samahan unaeza nielekeza namna ya kufanya malipo ni vitu gan napaswa niwe navyo
Nimeupata leo asubhi..nilienda kuulizia akajibu ulifika jioni!Mkuu ushapata mzigo wako, dar wana let down sana, mimi mzigo imefika tangu tarehe 9 asbh dar. Mpk leo haujafika Singida. Yan posta Tanzania kero sana.
Wenye uzoefu na mizigo kuja mikoani watuambie inachikuaga siku ngapi toka dar kuja mkoa.
Maana mizigo iliopita nilipokelea dar
Wanawakwepa CustomsNimeupata leo asubhi..nilienda kuulizia akajibu ulifika jioni!
Hlf hawa seller kweny bei ya bidhaa naona wanaandika pungufu ya ile niliyolipia! Tuseme kama kitu ni 40000 anaandika 20000 (in $ form)..labda kuna kitu wanakwepa bidhaa inaposafirishwa.
Hiyo ni kwaajili ya allocation of parcel.Hapo nyuma nimeagiza mizigo mingi sana ikiwemo simu kadhaa sikuwahi kukutana na tozo pale posta.
Lakini sasa imefika mizigo mitatu kila mzigo naambiwa niulipie Tsh 2350. Na ni small packages.
Na hata shipping mzigo miwili nimelipia shipping.
Lakini risiti inaonesha ni gharama za shipping.
TRA wamepewa mamlaka ya kufungua parcel but wamepotezea ila sasa kwa hizi comments naona mnataka kuwaamsha jamaa waanze kufungua moja moja na kucalculate upya.Wanawakwepa Customs
Asipofanya hivyo ,utapigwa USHURU/KODI mpaka UCHAKAE na TRA ,Tuwashukuru sana sellers ,kwa wanachotufanyia ,kupunguza Bei halisi ya Bidhaa
Sometimes ,ukichat nae anaweza kuandia bidhaa ni GIFT ,ukachukia buree bila makato kato
Ni toleo gani latest la xiaomi ambalo sio copy & cut, nilitaka agiza mi A3 but ina sura ya ki-samsung na iphone, so ni ipi wamejitahidi ku-design body ya kipekee!?Haya mzgo huo wa simu nimetoka kuchukua Hakuna kodi wala nini..View attachment 1206189
Hyo ni app gan ya kutrack?Mizigo inayokuja mikoani kwa mkoa kama Dodoma inasafirishwa kila siku muda wa usiku na inafika asubuhi Dodoma.View attachment 1204582
WTF? Natumia Equity VisaCard kulipia na ina balance ya 10k... Mzigo wenyewe naotaka kuagizia ni wa $3.4 lakini inagom! Msaada wakuu View attachment 1206296
WTF? Natumia Equity VisaCard kulipia na ina balance ya 10k... Mzigo wenyewe naotaka kuagizia ni wa $3.4 lakini inagom! Msaada wakuu View attachment 1206296