daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,460
- 2,160
nataka ninunue xaom band 3 naombeni link ya original band with cheap price
Ingia aliexpress ujichagulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nataka ninunue xaom band 3 naombeni link ya original band with cheap price
Maana yake hakuna anayeuza hiyo simuhabari
Najaribu kuitafuta pocophone f1 aliexpress mbona hazionekani? Msaada tafadhali
hii ni nzuri mnoo inanipa moyo na mimi mgeni kwenye hii kituAsubhi hii nimepigiwa simu posta kuwa nna mizigo mi 3. Na mmoja umekaa sana wakipiga simu walipanga siku zikifika waurudishe ulikotoka
Nitaenda kuchukua nitaleta feedback. Bado miwili tu ndio ipo njiani kati ya Mitano. Im now confident that ever.
Mizigo 4 kati ya mi 5 nilinunua tarehe 21/5
Yeah hiyo chap kwa haraka tu ila RN6 PRO Mtiti kidogo.
Watu wanazungumzia ugumu wa kuflash TWRP ili waweke Google Camera kwenye RN6 itoe picha za mng'aro zaidi.RN 6 pro hatarii mkuu yaani sijutii kuimiliki.
Redmi note 6 pro ni sawa na mi A2 kama unataka gcam unachukua mi a2Watu wanazungumzia ugumu wa kuflash TWRP ili waweke Google Camera kwenye RN6 itoe picha za mng'aro zaidi.
Kama umeridhika na Kamera iliyokuja na simu OK, Wenzio mambo mengi muda mchache!!!!
Xiaomi Mi Max Prime hapa,tupo pamoja
Agiza tu mkuu hapa bongo hakuna betri za xiaomBattery og za mi max zinapatikana wapi kwa hapa Dar?
Mi a2 charge kiduchu ukilinganisha na RDN6Redmi note 6 pro ni sawa na mi A2 kama unataka gcam unachukua mi a2
Mi a2 shida yake haina 3.5 jack na Life battery ni ndogo sana.Redmi note 6 pro ni sawa na mi A2 kama unataka gcam unachukua mi a2
Naona ushazipata mkuu.Duuh kitu cha dark mode na full screen mode ni nouma .tupia features zingine unazozipenda twende pamoja team xiaomi
Ingia aliexpress ujichagulie
Hii band 3 nini mkuu? Naangalia uwezekano wa kununua REDMI 7 naona na hiyo band 3.nataka ninunue xaom band 3 naombeni link ya original band with cheap price
Mbwembwe tu!!!Hii band 3 nini mkuu? Naangalia uwezekano wa kununua REDMI 7 naona na hiyo band 3.
Nipe shule kidogo
Nakushukuru kwa shule fupi bila hata lesson plan. Very good!Mbwembwe tu!!!
Kimsingi ni saa janja ya kuvaa mkononi yenye vikorombwezo vingi ikiwemo uwezo wa kuwa connected na simu yako hivyo inaweza kukupa alert pindi unapotumiwa sms, whatsap au kupigiwa simu.
Kwa maana kwamba simu unaweza kuiweka mfukoni call zikiingia smartwatch yako inavibrate na utaona Nani kakupigia so utaamua umjibu au umpotezee so inasaidia kutoichomoa simu mara kwa mara hasa unapokuwa Danger zone.
Kuna mabandiko mengi kuzungumza hiyo kitu so ukieleza kwa kirefu ni sawa na kurudia kutoa maelezo ya kitu kile kile.Nakushukuru kwa shule fupi bila hata lesson plan. Very good!
Kuna mabandiko mengi kuzungumza hiyo kitu so ukieleza kwa kirefu ni sawa na kurudi kutoa maelezo ya kitu kile kile.
SMARTWATCH BEI CHEE
Nauza Smartwatch yenye uwezo wa kufanya yafuatayo: -Ni touch screen yenye size ya 1.54 TFT" -Ina camera unaweza kupiga picha ukiweka memory card. -Ina uwezo wa kuweka simcard na memory card. -Ina support Bluetooth earphones so unaweza play music. -Unaweza kupiga na kupokea simu, kutuma SMS na...www.jamiiforums.com