Inatoka mwaka huu?Kuna mnyama ajaye anaitwa redmi k20 ...nahisi flagships zitapata taaabu saaana....time to replace my Pocofone f1
Yeahp. Japo kuna mnyama amesha acha watu mdomo wazi juz na jana Asus zenfone 6. Mcheck kwa net Asus zenfone 6.Inatoka mwaka huu?
Baba nimeona hiyo simu...ina flip camera, nimeona leo asubh. Kwa mtindo huu, lazima Iphone na samsung watafutaneYeahp. Japo kuna mnyama amesha acha watu mdomo wazi juz na jana Asus zenfone 6. Mcheck kwa net Asus zenfone 6.
Baba nimeona hiyo simu...ina flip camera, nimeona leo asubh. Kwa mtindo huu, lazima Iphone na samsung watafutane
Nazungumzia ushindani wa kisoko mana ndani ya muda mfupi kuna brand mpya inatoka.Mbona Samsung A 80 tayari anayo hiyo flip camera kitambo.
Mchina anawapa pressure sana makampuni kongwe ya utengenezaji simu!Baba nimeona hiyo simu...ina flip camera, nimeona leo asubh. Kwa mtindo huu, lazima Iphone na samsung watafutane
Hakika..hali ya hewa imebadilikaMchina anawapa pressure sana makampuni kongwe ya utengenezaji simu!
Mi A2 ina GCam?Ngoja tu tuamie Mi A2 yenye Stock Android. Hizi za ku download majanga tu!
Nazungumzia ushindani wa kisoko mana ndani ya muda mfupi kuna brand mpya inatoka.
Saiv Pocophone F2 ipo njiani...Redmi K20 ipo njian...oneplus wapo sokon tayar..Mi9 wapo sokon..asus zenfone 6 ndy tayr sokon nao.....na nyingn kibao. Sasa kwa mtindo huo na ukizingatia simu zinazokuja, zina tabia zinazofanana kwa sehem kubwa, soko lao linapungua.
Samsung wanauza ghali vitu vyao. Saiv ime-leak tayr note 10 series na itakua ni ghal sana. Iphone 11 ipo leaked pia. Huawei p30 pro ndy tusiongeee kabsa. Google ndy huyu naye google pixel 4 na 4XL zipo leaked tyr
Kaangalie feature ya hiyo rotating camera ya A80 na feature ya hii zenfone 6 vizuri utaona tofauti.Mbona Samsung A 80 tayari anayo hiyo flip camera kitambo.
Kaangalie feature ya hiyo rotating camera ya A80 na feature ya hii zenfone 6 vizuri utaona tofauti.
Kwanza kabisa ukiacha ubora wa camera tu fliping mechanism ni tofauti. Na hii inaifanya zenfone 6 kuweza kushot picha zaidi ya pande mbili tulizozizoea yaani nyuma ya simu (rear) na selfie. while A80 ni rear na selfie tu.
Pili Camera ya A80 haina uwezo wa kurecord 4k video pindi itakapokuwa kwenye mtazamo wa selfie, while Zenfone inakupa feature zote za rear camera kwenye mwonekano wa selfie including 4k video recording.
Tatu ultra wide angle ya camera ya Zenfone 6 ni wide kuliko hata S10 baba wa huyo A80.
Nne ili kuipop up hiyo camera (yaani kufanya hiyo camera ya A80 irotate kuja mbele) simu inafanya operation mbili kwanza ina slide kwenda juu kisha ndio camera irotate ambapo more operations kwenye motorized device ni more risky.
Kwa Asus zenfone 6 operation ni moja tu yaani inaflip ( inajibinua tu pasipo kuslide) kuhamia mbele au angle yeyote utakayotaka kwa nyuzi 180°.
Hapo kwa Camera imeashatosha kumchallenge A80 .
Daaah ,hapa ndio nimeamini kale kamsemo ka "Mambo Mengi,Mda Mchache"Nazungumzia ushindani wa kisoko mana ndani ya muda mfupi kuna brand mpya inatoka.
Saiv Pocophone F2 ipo njiani...Redmi K20 ipo njian...oneplus wapo sokon tayar..Mi9 wapo sokon..asus zenfone 6 ndy tayr sokon nao.....na nyingn kibao. Sasa kwa mtindo huo na ukizingatia simu zinazokuja, zina tabia zinazofanana kwa sehem kubwa, soko lao linapungua.
Samsung wanauza ghali vitu vyao. Saiv ime-leak tayr note 10 series na itakua ni ghal sana. Iphone 11 ipo leaked pia. Huawei p30 pro ndy tusiongeee kabsa. Google ndy huyu naye google pixel 4 na 4XL zipo leaked tyr
MSAADA USHAURIMchina anawapa pressure sana makampuni kongwe ya utengenezaji simu!
Kama note 7 basi ichukue ile ya pro ndo utaifaidi unless chukua tu hiyo mi a2 ila haina headphone jack yaani hutoweza weka charge huku unasikiliza MUSIC maana port ya charge ndo hiyo ya Earphone. So far chakuvutia mi a2 haina matangazo na iko fast sana maana haina mambo mengi bila kusahau Ushubwada wa CAMERA ya GCAM kwa zile POTRAIT.MSAADA USHAURI
Niko njia panda nataka nichukue kati ya Mi A2 au redmi note 7
Mi A2 inasapoti google camera na ina android one
Redmi nimevutiwa na camera ya 48MP na fast charging
Asante kwa ushauriKama note 7 basi ichukue ile ya pro ndo utaifaidi unless chukua tu hiyo mi a2 ila haina headphone jack yaani hutoweza weka charge huku unasikiliza MUSIC maana port ya charge ndo hiyo ya Earphone. So far chakuvutia mi a2 haina matangazo na iko fast sana maana haina mambo mengi bila kusahau Ushubwada wa CAMERA ya GCAM kwa zile POTRAIT.
MSAADA USHAURI
Niko njia panda nataka nichukue kati ya Mi A2 au redmi note 7
Mi A2 inasapoti google camera na ina android one
Redmi nimevutiwa na camera ya 48MP na fast charging
Mi A2 ni US$ 159.99 + 3.15 shippingKwenye upande wa chipset zote zina Snapdragon 660, Mia A1 ina 3000mAh battery wakati Redmi Note 7 ina 4000mAh battery, kwa upande wa camera hazipishani sana kwa ubora, bali utofauti ni kwenye MP, pia kwenye price kwa sasa Mi A2 ipo nafuu zaidi ukilinganisha na Redmi Note 7. Mie naona Mi A2 ni worth for the money.
Na Note 7 pro kiasi gani..?Mi A2 ni US$ 159.99 + 3.15 shipping
Note 7 ni US$ 164.99 + 3.15 shipping
Hiyo price ni Mi A2 4GB RAM 64GB ROM na Note 7 ni 3GB RAM 32GB ROM. Kwahiyo Mi A2 bado ni chaguo sahihi kwa upande mwingine.Mi A2 ni US$ 159.99 + 3.15 shipping
Note 7 ni US$ 164.99 + 3.15 shipping