BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,110
Wakuu hii EMERGENCY SOS kuna utamu gani humu
naivutia kasi nimeiona leo baada ya kuupdate
naivutia kasi nimeiona leo baada ya kuupdate
Ukizoea utaona ni muda mfupi tu!Sema waiting time...dah too long
Kama uliweka namba ya simu mzigo ukifika utapigiwa simuNilijua jinsi posta za huku kwetu walivo wazembe hawawezi update. Kumbe nao wanatumia tech
Regional India?Naona Upadates ya MIUI 10.3.2.0 imekuja na feature moja ya EMERGENCY SOS ambapo unaset namba za watu kadhaa na ujumbe flani ambao kama itatokea unashida au kuna hali flani huwezi kuandika ujumbe una TAP ×5 Power Off Na ujumbe unajituma kwa zile no. Na location na last one hour Call History vinatumwa anyway naamini hii kitu kwa nchi za wenzetu ni nzuri sana ila sina hakika kwa Tz maana kila kitu tuko nyuma mfano mtu umetekwa na watu wasojulikana au tukio lolote endapo tu una fahamu bado inayokufanya usiweze tuma jumbe kwa watu ila hii njia inaweza saidia.
View attachment 1095693
TZS 103,512.32 | 10-Touch AAA Quality LCD+Frame For Xiaomi Redmi Note 5 Pro LCD Display Screen For Redmi Note 5 LCD Screen Display Snapdragon 636Napata wapi kioo. Cha note 5pro
Nimeelewa tatiZo nipo na harakaTZS 103,512.32 | 10-Touch AAA Quality LCD+Frame For Xiaomi Redmi Note 5 Pro LCD Display Screen For Redmi Note 5 LCD Screen Display Snapdragon 636
Huwezi kupata hapa Tz ndugu yangu Hadi uagize.Nimeelewa tatiZo nipo na haraka
Endelea kusubiri huenda ukaokota dodo chini ya mnaziNimeelewa tatiZo nipo na haraka
Aende akatafute Aggrey huenda akabahatika kupata teh teh teeeh!!Huwezi kupata hapa Tz ndugu yangu Hadi uagize.
Simu hazipo madukani unafikiri mfanya biashara gani ataleta spea zake?
Jiandae na Shipping fee kubwa pia panga la TRANdio nimemtxt seller kutumA na fedex Au dhl inakuwa je
broo nimekutex kule inboxJiandae na Shipping fee kubwa pia panga la TRA
Hong Kong boss.Re
Regional India?