yaramazlik
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 174
- 250
Hawa jamaa wabaguzi. Mimi mbona nilichukua posta pale wakanicharge kodi 21,000 au labda kwa kuwa sikuwa na sanduku la posta?Hatimae Jana nikakamata mashine yangu bila longo longo,
Shukrani zangu ziende kwa muanzisha uzi pamoja na maoni ya wadau wote.View attachment 1315241
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app