lufulondama
Member
- Nov 13, 2019
- 95
- 188
Bango nicheki basi inbox au chukua namba yangu hio tuwasiliane mbona kichwa ngumu sana
Inawezekana mkuu
Maana jana pia kama kawaida nimejichotea mizigo yangu mingine bila makato
Mizigo yote nachukua bila kuwa na sanduku la posta