Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Ko we nikuomba tu hiyo declaration value bacWanaandika wenyewe na nia nikukusaidia wewe kwenye kodi maana wanajua taratibu za kodi kwa vitu vinavyokuwa imported
Ko we nikuomba tu hiyo declaration value bacWanaandika wenyewe na nia nikukusaidia wewe kwenye kodi maana wanajua taratibu za kodi kwa vitu vinavyokuwa imported
Jamaa wanakuwaga na mikwara mbuzi so wanakujambisha uwape bei halisi, mkibishana sana unachomoa invoice yako (printable) na kuwapa ili kuongeza Uzito maana hiyo ni document inayokubalika na kila kitu kipo wazi kwenye andiko plus muhuri na namba za mawasiliano ikibidi wa Mpigie tu seller awape uthibitisho.Jema mfano Seller kaandika 45$ ila wakaja TRA wakasema hii sio bei halisi wakati seller kaandika hiyo hapo inakuaje?
Anhaa hapo sawaJamaa wanakuwaga na mikwara mbuzi so wanakujambisha uwape bei halisi, mkibishana sana unachomoa invoice yako (printable) na kuwapa ili kuongeza Uzito maana hiyo ni document inayokubalika na kila kitu kipo wazi kwenye andiko plus muhuri na namba za mawasiliano ikibidi wa Mpigie tu seller awape uthibitisho.
Tunapo kwama ni kukosa hiyo invoice maana jamaa wa TRA wakiuliza bei ukawatajia dolar 50 nao wakabisha kwamba hiyo bei siyo halisi mtabishana na watataka uwaonyeshe uliponunulia wathibithishe!!!Anhaa hapo sawa
Why Hao jamaa wapingane na Invoice toka kwa suppliers?Jema mfano Seller kaandika 45$ ila wakaja TRA wakasema hii sio bei halisi wakati seller kaandika hiyo hapo inakuaje?
Jema mfano Seller kaandika 45$ ila wakaja TRA wakasema hii sio bei halisi wakati seller kaandika hiyo hapo inakuaje?
Je invoice ulitumiwa?Mi waliniambia niwafungulie page ya seller AliExpress wahakiki Bei niliyonunua kijana mweupe yule anajifanya anakamia sana
Je invoice ulitumiwa?
Hukuwa na invoice au kithibithisho chochote cha bei nao walitaka wajiridhishe afu huwa wanakaba makusudi wakijua kwamba huwezi kuiacha simu yako kali.Mi waliniambia niwafungulie page ya seller AliExpress wahakiki Bei niliyonunua kijana mweupe yule anajifanya anakamia sana
Hukuwa na invoice au kithibithisho chochote cha bei nao walitaka wajiridhishe afu huwa wanakaba makusudi wakijua kwamba huwezi kuiacha simu yako kali.
mimi nina kawaida ya kufungulia parcel pale kidirishani ili kuhakiki kama kila kitu kipo sawa sasa kuna siku niliitoa Redmi note 7 kwenye zile Buble si yule mama akaning'ang'ania niivue kwa box ili aione live maana kaipenda ile picha juu ya box nikamwambia kifaa cha watu hiki siwezi kuondoa seal bila ya ridhaa ya mwenyewe.
Kuuliza bei nikamwambia mia na 20 akaiponda kumbe ndogo kuliko spark 7 yake nikamwambia poa haina shida.
mida mida huwa tunajirengesha wenyewe kwa hawa watu so tuwe makini katika kujibu maswali yao.
BANGO JEUPE hako kajamaa kalikuwa kanakazia sababu hukuwa unajua bei iliyoandikwa kwenye parcel so walikuwa wanakupa jamba jamba ili upande dau maana bei uliyoitaja haikufanana na iliyoandikwa kwenye parcel.
kama kila kitu unacho hasa invoice unakomaa nao tu hao.
Anza na huyu mnyama ndo natumia hata mimi muda huu, iko vizuri ila sijajua ww kipaumbele chako kwenye simu niniWakuu Bajet ya 380K mpaka 400K
Naweza Pata xiaomi ya aina gani maana mmenivutia nihamie kwenye hii familia
Naombeni mwongozo tafadhali
Ambapo niki amua kunua kupitia ali express mpaka naupata mzigo ina nichkua muda gan mkuu?Anza na huyu mnyama ndo natumia hata mimi muda huu, iko vizuri ila sijajua ww kipaumbele chako kwenye simu nini
View attachment 1232390
Vipi pia kuhusu R7Pro bei ime kaaje mkuu?Anza na huyu mnyama ndo natumia hata mimi muda huu, iko vizuri ila sijajua ww kipaumbele chako kwenye simu nini
View attachment 1232390
wiki <3>Ambapo niki amua kunua kupitia ali express mpaka naupata mzigo ina nichkua muda gan mkuu?
Sijawahi kuiona AE hiyo labda uipandie jikonVipi pia kuhusu R7Pro bei ime kaaje mkuu?
Mkuu hyo simu inafanya kazi bongo kweli, nazionaga simu bei ya chini alliexpress Ila sababu hazna majina naogopa tcra wasije kua wamezifungiaWhy Hao jamaa wapingane na Invoice toka kwa suppliers?
Kwavile ni 45$?
Kama watatakuwa wanakadiria kwa kufananisha na Tecno f'lani hivi watakuwa wanafeli!!!
Mbona Kuna madude huko yanauzwa chini ya 40$ mfano hilo la chini hapo.
View attachment 1232061
View attachment 1232063