Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 4,550
- Thread starter
- #3,601
Mnaposema notch n nini hasa tunatofutiana uelewa
Kwa simu nyingi za mwaka huu kanotch sio rahisi kukaepuka. Kama una mkwanja chukua mi 9T or realme X front camera yake inachomoza kwa juu.
Hata mimi notch kabla sijapata simu yenye notch ilikuwa inaniboa sana ila baada ya kukaa nayo nishaizoea na wala hainipi shida na simu langu lina bonge la notch sio kama ile ya RN7.