Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,629
Equity hakuna kiwango cha lazima kubaki mkuu.Kumbuka benki balance inatakiwa kubaki pia
Equity hakuna kiwango cha lazima kubaki mkuu.Kumbuka benki balance inatakiwa kubaki pia
Website ya postaHyo ni app gan ya kutrack?
Ni toleo gani latest la xiaomi ambalo sio copy & cut, nilitaka agiza mi A3 but ina sura ya ki-samsung na iphone, so ni ipi wamejitahidi ku-design body ya kipekee!?
Sio App ni website ya UPUHyo ni app gan ya kutrack?
Sie tu nalipia 2500 siyo mbaya kutegemea na mzigo.Haya mzgo huo wa simu nimetoka kuchukua Hakuna kodi wala nini..View attachment 1206189
Huo ni UOGA wako mkuu,kufungua ni Duty yao ,waache wafungue wajirizishe ,Ukidakwa ni juu yakoTRA wamepewa mamlaka ya kufungua parcel but wamepotezea ila sasa kwa hizi comments naona mnataka kuwaamsha jamaa waanze kufungua moja moja na kucalculate upya.
Tumekimbia kule DHL mnataka kuharibu na huku pia?
Huo ni UOGA wako mkuu,kufungua ni Duty yao ,waache wafungue wajirizishe ,Ukidakwa ni juu yako
Ulitaka nisimjibu mdau kisa kuogoga TRA wataona Comments?
Acha UOGA
Jifunze kutofautisha UOGA na UJINGAAcha ujinga basi.
Sio kweli, maana mzigo mmoja ulikuwa na RG799061713SG na nimelipia. Hii ni tozo mpya tu wanaijua posta wenyewe.Mizigo yote yenye tracking inayoanza na "R" (registered mail) huwa haulipii ila kama tracking no. Sio "R" wanakuchaji hiyo 2350.
Juzi jamaa wa posta kanipigia simu, maswali mengi kweli, in short ni kama amechoka kunitaarifu kuwa mzigo imefika anataka niwe naenda posta mara kwa mara kuangalia kama mizigo imefika.Sie tu nalipia 2500 siyo mbaya kutegemea na mzigo.
Zamani tulikuwa tunawatoa siku moja moja washkaji pale posta mzigo ukiingia tu wanakutonya kishkaji.
Sa hivi wakijisikia wanakupigia au wanakausha.
Afu Kuna kitu nimegundua baadhi ya mizigo huwa inabadilishiwa tracking no so ukit rack Hola hadi uende chukua ndo utagundua hilo.
Simu murua Sana xiaomi note 4 .hizo simu kiboko tunazo wachache sana hapa bongo!
Badilisha lugha English .nenda kwenye settingKweli na mimi ninayo. Nzuri sana. Ila yangu ni ya kichina... mambo mengi ni kichina nilinunua Beijing , it was for China consumers. Kuna vitu vinanipiga chenga kwa sababu ya lugha.
Bands tu zinaweza zikawa shida yaani baadhi ya mitandao ukawa 4g hupati au 3gHivi hizi Xiaomi ambazo ni China version ni nzuri kweli?! Mfano ukiitumia nje ya China (mfano;Bongo) matatizo yake ni yapi?!
Naombeni maelekezo Tafadhali!
Mr. Mobile
Chief-Mkwawa
•Bands za mtandao baadhi ya simu inaweza ikawa haipoHivi hizi Xiaomi ambazo ni China version ni nzuri kweli?! Mfano ukiitumia nje ya China (mfano;Bongo) matatizo yake ni yapi?!
Naombeni maelekezo Tafadhali!
Mr. Mobile
Chief-Mkwawa
Haupendi hizi simu zenye screen to body ratio kubwa au kale kanotch ndio kana kuboa!Nimetumia redmi note 7 kwa kama mwezi mmoja tu iko poa sana ila haya maumbo ya hizi simu za kisasa sijayapenda kabisa, wiki iliyopita kunamatatizo yalinitokea RN7 yangu ikatoweka, hivyo kwasasa nataka kununua nyingine, Mi a2 vipi si iko poa nayo maana Mi a3 nayo naona wamebadili umbo
Haupendi hizi simu zenye screen to body ratio kubwa au kale kanotch ndio kana kuboa!
By the way advantage ya hizi simu mpya huwa zinakuwa na improvement hasa kwenye camera. Kwa upande wa performance hiyo miA2 itakuwa sawa na RN7 maana zinatumia chipset moja.
Kwa simu nyingi za mwaka huu kanotch sio rahisi kukaepuka. Kama una mkwanja chukua mi 9T or realme X front camera yake inachomoza kwa juu.kale ka notch ndo si kapendi