The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,440
- 10,233
Nilihis tu utaweka hii comment!!Usisahau Gcam
Nilihis tu utaweka hii comment!!Usisahau Gcam
Nilihis tu utaweka hii comment!!
Tupeni elimu kuhusu hiyo Camera
Pro pesa sasaGonga pro kabisa boss
sawaUsisahau Gcam
Estimation ni hii hivyo haizidi 365kxiaomi note 5 pro 64 gb inapatikana kwa sh ngap?
TZS 344,878.12 | Global Version Original Xiaomi Redmi Note 5 4GB RAM 64GB ROM SmartPhone Snapdragon 636 Octa Core 5.99" 18:9 Full Screen 4000mAhxiaomi note 5 pro 64 gb inapatikana kwa sh ngap?
Gonga pro kabisa boss
Ngapi ulidondoka pia naona nowadays wamezitoa kabisa zimebaki note 7 kavu na redmi 7 na matoleo mengine kadhaa.Nimeagiza hiyo kitu kutoka kwa Hujintao naisubiri kwa hamu sana...
Kama vyuma vimekazi huwezi afford iphone X basi OPPO hawajakusahau
View attachment 645944View attachment 645943
TZS 344,878.12 | Global Version Original Xiaomi Redmi Note 5 4GB RAM 64GB ROM SmartPhone Snapdragon 636 Octa Core 5.99" 18:9 Full Screen 4000mAh
TZS 344,878.12 | Global Version Original Xiaomi Redmi Note 5 4GB RAM 64GB ROM SmartPhone Snapdragon 636 Octa Core 5.99" 18:9 Full Screen 4000mAh
Aliexpress hakuna boss ipo hiyo tu.naomba unichekie na yenye ram 6GB maana hiyo 344k ni ya 4gb ram
Jaribu kufungua hilo file.Nimejaza form ya manunuzi AliEpress,ni mara yangu ya kwanza kufanya manunuzi mtandao,pale kwenye Zip/Postal Code najaza code zipi? Naomba uzoefu wenu.