Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,908
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2016 Mkoani Ofisi ya Mkuu wa Wilaya nimeingia pale ndani nikiwa nimeshavaa kiheshima mpaka basi,
Nimekutana pale Wanajeshi tofauti wenye Vyeo wamezunguka Meza huku ya Veti vyangu Original vinazunguka Mikononi Mwao, Yani nilitegemea ntaulizwa Mambo kama Mkuu wa majeshi ni nani! Au mkuu wa mkoa/Wilaya jina lake, Nikawa nimejiandaa vya kutosha
Ila niliulizwa tu mwaka wangu wa kuzaliwa basi harafu nikaabiwa nikasubiri nje? Kipindi hicho Mkuu wa wilaya ni Polepole alitunaga vibaya sana kwamba huko mnaenda kulima bamia harafu mnarudi watupu,🤣
2017 nikajaribu pia ila nikaangukia pua, Tuambizane wewe pia ulishaishia kwenye interview tu au uliendelea mpaka mkoani.
Nimekutana pale Wanajeshi tofauti wenye Vyeo wamezunguka Meza huku ya Veti vyangu Original vinazunguka Mikononi Mwao, Yani nilitegemea ntaulizwa Mambo kama Mkuu wa majeshi ni nani! Au mkuu wa mkoa/Wilaya jina lake, Nikawa nimejiandaa vya kutosha
Ila niliulizwa tu mwaka wangu wa kuzaliwa basi harafu nikaabiwa nikasubiri nje? Kipindi hicho Mkuu wa wilaya ni Polepole alitunaga vibaya sana kwamba huko mnaenda kulima bamia harafu mnarudi watupu,🤣
2017 nikajaribu pia ila nikaangukia pua, Tuambizane wewe pia ulishaishia kwenye interview tu au uliendelea mpaka mkoani.