Wale wenzangu wapenzi wa Gb WhatsApp, Yo WhatApp, WhatsApp Plus hali ni tete!!!

Hizi hapa ni moja ya tofauti na hiyo official version zipo kotekote zina manufaa yake na hasara pia inategemeana na mtazamo wa mtu, mahusiano yake na kwa watu wake wa karibu... Na hizi tofauti ndio moja ya sababu official version wanatupiga ban

1. Unaweza weka status video yenye zaidi ya mb 10

2. Kila baada ya muda mfupi huwa updated na kuja na feature kali zaidi

3. Ant status delete, ukishaweka tu hata ufute mi nitaiona na nitajua uliifuta hahahah

4. Ant message delete yaan ukishanitumia sms hata ufute lazima niione na naona uliifuta

5. Unaweza badili mwonekano wake kwa 100℅ kuanzia kwenye font hadi icon

6. Unaweza share video yenye ukubwa sana tofauti na hiyo nyingine

7. Naweza ku control blue tick na second tick,,, ww kama unanidai utatuma sms na kamwe hutoona kama mezisoma

8. Naweza kuficha last seen kwa mtu mmoja mmoja na kwa group pia we utaona Mara yangu ya mwisho kuingia WhatsApp ni mwaka jana kumbe nipo online

9. Naweza download status yako...

Wadau ebhu ongezeeni
ndio maana Mimi naililia daah! nadhani kwa sasa tukae kwa utulivu wakati waarabu hawa wakilishughulikia jambo hilo
 
Ni swala la muda tu hata kwako watafika, jipange kisaikolojia ila hawa jamaa walisema watatoa zenye uwezo wa kutoguswa na ban

Mm mara kadhaa wananletea msg za ku-update wananpa link naifuata, ila mle ndan kuna lugha ya kiarabu lazma uwe mpole ufany trial and error mpaka ufanikiwe.

GB whasap walinipiga bann, nkahamia Yo..
 
Mm mara kadhaa wananletea msg za ku-update wananpa link naifuata, ila mle ndan kuna lugha ya kiarabu lazma uwe mpole ufany trial and error mpaka ufanikiwe.

GB whasap walinipiga bann, nkahamia Yo..
Mi nilihamia Yo napo nikala ban
 
Hizi hapa ni moja ya tofauti na hiyo official version zipo kotekote zina manufaa yake na hasara pia inategemeana na mtazamo wa mtu, mahusiano yake na kwa watu wake wa karibu... Na hizi tofauti ndio moja ya sababu official version wanatupiga ban

1. Unaweza weka status video yenye zaidi ya mb 10

2. Kila baada ya muda mfupi huwa updated na kuja na feature kali zaidi

3. Ant status delete, ukishaweka tu hata ufute mi nitaiona na nitajua uliifuta hahahah

4. Ant message delete yaan ukishanitumia sms hata ufute lazima niione na naona uliifuta

5. Unaweza badili mwonekano wake kwa 100℅ kuanzia kwenye font hadi icon

6. Unaweza share video yenye ukubwa sana tofauti na hiyo nyingine

7. Naweza ku control blue tick na second tick,,, ww kama unanidai utatuma sms na kamwe hutoona kama mezisoma

8. Naweza kuficha last seen kwa mtu mmoja mmoja na kwa group pia we utaona Mara yangu ya mwisho kuingia WhatsApp ni mwaka jana kumbe nipo online

9. Naweza download status yako...

Wadau ebhu ongezeeni
DARK MODE PIA.
 
kwan wakipiga ban di hao wengine wanaendelea kuwepo? wapige tu...
but mi ningeshaur wajiulize kwa nn watubwanahamia kule....
 
Daaaah mm pia yamenikuta mdau ....kwakweli hii official ya kwenye play store inaboa sana tafadhali kama hao GB wakileta hyo vision mpya usisite kunitag
 
Daaaah mm pia yamenikuta mdau ....kwakweli hii official ya kwenye play store inaboa sana tafadhali kama hao GB wakileta hyo vision mpya usisite kunitag
Jaribu hiyo mdau aliyotoa hapo juu Yowa
 
Soon or later WhatsApp clone zitabaki historia

Wameanza na gb wataendela kwa kadiri wingi wa watumiaji wa clone husika
Ni swala la muda tu
 
Nashangaa unalalmika ban wakt untumia unofficial watsap.....utakula ban ad ukome
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom