Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 2,930
- 5,978
hili suala la kufuatilia third parties za whatsapp huwa linalipuka na kuzimika kama ukaguzi wa vyeti vya madereva barabarani...... GB whatsapp omar kisha toa kitu v.6.95 antiban..... maisha yanaendelea huku.... mimi niko na hizi third parties mwaka wa 5 huu na nlianza na whatsapp+ tukala sana ban miaka ile.... nikaona hawa hawako stable nikadaka GB mpaka sasa maisha yanaendelea.... no ban no frastireshons...