kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,422
- 7,207
Hii kampuni ya Tanzania oxygen Tol Gas hakika imekua pasua kichwa kwa wanahisa wake.
Ndio ya kwanza kuingia soko la hisa Dar es salaam ila hawajawahi kutoa gawio tangu wameingia soko la hisa hadi jpm juzi alipoanza kukaba mashirika na kampuni zenye hisa za serikali kutoa gawio ndio wametoa kigawio kiduchu Shs 17 kwa hisa.
Kampuni ina uwekezaji mkubwa kazi wakurugenzi na mameneja kujilimbikizia mafao wanahisa hawapati kitu utafikiri kampuni imekua yao. Hicho kigawio walichotangaza wanazungusha tu wanahisa wala hawatoi hadi sasa.
Inaelekea kama wajanja wamejibinafsishia Tol kiujanja, wanakula wao faida.
Ndio ya kwanza kuingia soko la hisa Dar es salaam ila hawajawahi kutoa gawio tangu wameingia soko la hisa hadi jpm juzi alipoanza kukaba mashirika na kampuni zenye hisa za serikali kutoa gawio ndio wametoa kigawio kiduchu Shs 17 kwa hisa.
Kampuni ina uwekezaji mkubwa kazi wakurugenzi na mameneja kujilimbikizia mafao wanahisa hawapati kitu utafikiri kampuni imekua yao. Hicho kigawio walichotangaza wanazungusha tu wanahisa wala hawatoi hadi sasa.
Inaelekea kama wajanja wamejibinafsishia Tol kiujanja, wanakula wao faida.