Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Jamani!
Mbona naona vijana wa siku hizi wanazeeka haraka?
Yani nikiangalia wazee wengi wana nywele nyeusi tii labda na vimvi vichache tu. Ila vijana sasa... Vichwa vimejaa mvi... Tena wengi ni below 35.
Nini kimekikumba hiki kizazi chetu?
Embu ambao mmevuka 35 na hamjaota mvi mkuje hapa mshee lifestyle yenu...
Mbona naona vijana wa siku hizi wanazeeka haraka?
Yani nikiangalia wazee wengi wana nywele nyeusi tii labda na vimvi vichache tu. Ila vijana sasa... Vichwa vimejaa mvi... Tena wengi ni below 35.
Nini kimekikumba hiki kizazi chetu?
Embu ambao mmevuka 35 na hamjaota mvi mkuje hapa mshee lifestyle yenu...