dumbi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2018
- 989
- 1,523
Kutokana na changamoto za kwenye ndoa yangu sitoziweka hapa, nimeamua kutafuta mchepuko . Shida ilonifanya niwaulize wazoefu je huwa mchepuko unamwambia kama umeoa au unakausha kwanza, manake kuna mtoto nilikuwa nimemseti kajaa fresh tukawa tunachat chat ila ikifika saa 2 au 3 siwezi tena kupiga simu hiyo hali ikampa mashaka, siku akaniuliza kama nimeoa nikakataa, sasa kakomalia jana nikaona nimchane kweli nimeoa kwahiyo kasema mimi na yeye basi, bado sijamgonga.
Mwingine yeye nae swali hilohilo huyu naogopa nisije kumwambia nae akanimwaga. Huyu anataka tuishi wote mradi nikajitambulishe tu kwa mama yake .
Sasa wale watalaam mnafanyeje fanyaje au mnaokota milupo ambayo haina cha kupoteza hata ukimwambia.
Mwingine yeye nae swali hilohilo huyu naogopa nisije kumwambia nae akanimwaga. Huyu anataka tuishi wote mradi nikajitambulishe tu kwa mama yake .
Sasa wale watalaam mnafanyeje fanyaje au mnaokota milupo ambayo haina cha kupoteza hata ukimwambia.