Mm nilienda hadi eneo la tukio kwa siku ya kwanza nikaona kuna wazee wanacheka, nikasema kile kicheko cha wazee siyo cha kawaida niligeuza hadi hom nikaenda kulala zanguHa ha haaa..kwamba zilipigwa 500mil za fasta fasta na kijana wa miaka 24, Ontario master plan
kama ingekuwa kuna maisha mazuri Forex hakika Leo matajiri wangekuwa watu wanaofanya hiyo biashara Lakini ajabu wengi waliojaribu kufanya hiyo biashara wapo mahakamani kwa kesi za kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu pamoja na kesi za madai makubwa.Yaani MTU anabisha tu kwasababu uanataka kutapeli wenzako.Narudia tena hakuna pesa ya bure namna hiyo thubutu kuweka pesa yako ulie na kuchanganyikiwa
Kijana hakutoa hlo angalizo....inaonekan kulikuwa na well planed dark mission behind the storyA word of caution is in order here: Forex markets are extremely risky markets due to the permitted use by traders of high leverage (i.e., the ability to trade using much more than your deposited money, e.g., 500 times your deposited money). Success isn’t guaranteed! It’s better to risk your own money. If you take other people’s money for forex trading, you have to warn them in no uncertain terms that forex trading is extremely risky and, as such, could potentially chew up ALL their hard-earned monies entrusted to you!
Usipotoa hili angalizo wewe lazima uwe tapeli na mahakama lazima ikuhusu.
FIKRA ZA KIMASIKINI SANA HIZIWatanzania tukumbuke hakuna pesa ya bure kiasi hicho kama walivyokuwa wanasema wale Wasouth Africa pale Jangid Plaza .Eti mtu muhitimu wa chuo kikuu tena taaluma ya biashara na uchumi na mambo ya fedha bila kusahau unaishi sinza kwa wajanja halafu bado anafikiri kuna pesa ya bure yaani utengeneze pesa hata ukiwa chumbani kwako.Mjiulize tu tajiri gani katika huu ulimwengu unayemjua amewekeza huko unapowekeza wewe au unafikiri wewe ndiyo mbunifu sana.Kumbukeni tu hakuna pesa ya bure Fanya kazi.Ile Elfu sitini zenu nazikumbuka sana ambazo mlilizwa
Npo kwenye intensive research, one day ntaifanya hii mamboPrincipal ni moja tu ukuona umeitwa kwenye fursa basi jua wewe ndo fursa yenyewe
Ila ukweli ni kwamba forex is there and it's real work but there is extremely high risk on investing there
Kasi ya forex iliyopo sasa ni speed ya juu sana haijawahi tokeaHii FOREX ilikuja na kuondoka kama uchaguzi mkuu vile.
jangid plaza mbuyuni oyesterbaykwani hili jengo ndio makao makuu ya forex?
Hahaha Kama Namuona nandyHa ha haaa..kwamba zilipigwa 500mil za fasta fasta na kijana wa miaka 24, Ontario master plan
Hata Forex mkuu, Sema hujaijua tuCrypto ndio kila kitu.