Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Ebwana uzazi Nazi.Sasa hivi hawa vijana wangu wanavyonitesa ndio naendelea kuwapa heshima wazazi wangu juu ya uvumilivu wao nlipokua nalilia nguo za sikukuu bila kujali wapo kwenye Hali gani na huku wakipretend kila kitu kipo sawa ili nsiumie,Heshima kwao Mungu awalipe pepo
Nw naona noma kurudi kwangu dogo msumbufu na mwaka huu halo sio haliii
[HASHTAG]#deni[/HASHTAG] la nguo za sikukuu halijawahi kumuacha mzaz salama
Nw naona noma kurudi kwangu dogo msumbufu na mwaka huu halo sio haliii
[HASHTAG]#deni[/HASHTAG] la nguo za sikukuu halijawahi kumuacha mzaz salama