Wale waumini wa Mjerumani kuna hii Carbon 1 MK II

Ngai Moko

JF-Expert Member
Mar 21, 2016
1,238
1,616
Kuna watu wamehamia kwenye bidhaa za Germany wanazisifia sana, mfano wale wazee wa magari wanazipigia debe VW, naomba maelezo juu ya hii simu janja Carbon 1 MK II.

Ni simu yenye yenye muundo wa kawaida na hata sifa zake ni za kawaida, mfano chipset yake ni MTK, ukubwa wa betri ni 3000 mAh.
Kilichonifanya kutaka kujua kiundani juu ya hii simu ni bei yake ambayo ni karibia EURO 800 na material yake ya carbon fiber monocoque.

Je. inauzwa hiyo bei kwa sababu ya design ya carbon fiber? Na hiyo carbon kwa nini haikutumika kabla kwenye utengenezwaji wa simu kutoka makampuni kama Samsung, Apple n.k.

20210311_120332.jpg
 
Material ya carbon fibre no expensive. Huwezi tengeneza simu kumlenga end consumer wa kawaida ukaweka carbon fibre . Economics zake hazita make sense.

Hyo simu nadhani ni kma fashion statement na sio kumlenga mtumiaji wa kawaida anyetaka simu tu yenye uwezo kwa bei reasonable. Selling point ya hyo simu ni kuwa imetengenezwa kwa carbon fibre, material bei ghali.
 
Kuna watu wamehamia kwenye bidhaa za Germany wanazisifia sana, mfano wale wazee wa magari wanazipigia debe VW, naomba maelezo juu ya hii simu janja Carbon 1 MK II.

Ni simu yenye yenye muundo wa kawaida na hata sifa zake ni za kawaida, mfano chipset yake ni MTK, ukubwa wa betri ni 3000 mAh.
Kilichonifanya kutaka kujua kiundani juu ya hii simu ni bei yake ambayo ni karibia EURO 800 na material yake ya carbon fiber monocoque.

Je. inauzwa hiyo bei kwa sababu ya design ya carbon fiber? Na hiyo carbon kwa nini haikutumika kabla kwenye utengenezwaji wa simu kutoka makampuni kama Samsung, Apple n.k.View attachment 1722708
Iko poa ila bei kali 2000k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom