de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 732
- 742
Wakuu salamu zenu
Wa Tanzania wenzangu kuna ndugu yangu anasumbuliwa sana na skio kuziba.Tumekwenda hospitalini tatizo wanalomwambia ni uchafu(wax material) ktk skio l
Umejaa,wakampa dawa inaitwa BORIC ACID ambayo ni suruhisho.
Lakini tangu atumie yapata week sasa tatizo liko pale pale sikio bado limeziba.
Wandugu pengne tuangalie upande wa kushoto wa dawa za mitishamba ambayo inatuzunguka pengne inaweza kuwa mwarobaini wa hili tatizo lake
OMBI LANGU: kwa yeyote mwana jamii forum mwenzangu kama unajua pengine mitishamba mfano; MATAWI YA MITI ,MIZIZI N.K.
Ambayo yanaweza msaidia huyu ndugu aepukane na hili tatizo tafadhari share na mm ujumbe huu ili Ndugu huyu ajiskie ahueni.
Wa Tanzania wenzangu kuna ndugu yangu anasumbuliwa sana na skio kuziba.Tumekwenda hospitalini tatizo wanalomwambia ni uchafu(wax material) ktk skio l
Umejaa,wakampa dawa inaitwa BORIC ACID ambayo ni suruhisho.
Lakini tangu atumie yapata week sasa tatizo liko pale pale sikio bado limeziba.
Wandugu pengne tuangalie upande wa kushoto wa dawa za mitishamba ambayo inatuzunguka pengne inaweza kuwa mwarobaini wa hili tatizo lake
OMBI LANGU: kwa yeyote mwana jamii forum mwenzangu kama unajua pengine mitishamba mfano; MATAWI YA MITI ,MIZIZI N.K.
Ambayo yanaweza msaidia huyu ndugu aepukane na hili tatizo tafadhari share na mm ujumbe huu ili Ndugu huyu ajiskie ahueni.