Najiona Mimi
Member
- Aug 15, 2020
- 74
- 87
- Thread starter
- #21
Kwakweli sijakuelewa
Ww ni mgeni hapa dsm?
Kwakweli sijakuelewa
ukiingia intagram kuna page kibao za perfume za kupima andika tu "scents tz" zitakuja page nyingi utachagua kulingana na bei
Location?niliuziwa elfu 15k mills 30 kwa bei ya jumla, ila kwa rejareja 20k.
ingia tu kariakoo mkuu au ingia tu instagram Login • InstagramLocation?
Sokoni wapi,shimoni?,njia ipi,kuelekea mashariki au magharibi,kuelekea njia ya mwendokasi au .....
Acha utoto basi,unavosemaWw ni mgeni hapa dsm?
weka hata picha ya Kinyama mama tutaelewa,achana na hiyo amazing😊Ukichukua kiss of love perfume na hashtag perfume unapata harufu amazing kinyama
Ningekuwa naweza kuweka picha ya hiyo harufu ningeweka
LinaitwajeKariakoo ndo kuna duka kubwa pale.
Stendi ipi mzeeUkishafika pale stand kariakoo kwenye soko pale unanyoosha na barabara moja kwa moja kama hatua kumi au kumi na tano ukiuliza tu pale wanapooza perfume za jumla na rejareja au za kupima utaoneshwa n karibu tu
Stendi ipi mzee