Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 18,878
- 48,950
Wahusika wa kichwa cha habari hapo juu.
Salam kwenu.
Naomba tujadiri ni kipi kimetukwamisha kupata ajira hadi leo? Tunaanza mwaka mpya sasa, ebu tujifunze kupitia makosa tuliofanya mwaka 2013. Mimi kwa upande wangu, baadhi ya mambo ninayodhania/amini yaliyosababisha nikashindwa kuitwa interview/kukosa ajira etc ni haya:
1. Kushindwa kuandaa CV na cover letter ya kumshawishi "boss" pindi anaposoma.
2. Nafasi zilizotangazwa za career yangu ni chache sana, hivyo competition ikawa kubwa.
3. Kukosa baadhi ya "email address hai" za makampuni pindi tunapoamua kutuma maombi ata kama nafasi hazijatangazwa. Nyingi tunazozipata za mitandaoni zilishaachwa kutumika.
4. Kukosa fedha za kutuma barua nyingi kwa posta au kupeleka "By hand" hivyo kuamua kutumia njia cheap ya email ambayo kusema kweli sio bora sana maana ni email chache zinamfikia mlengwa.
5. Kukosa work experience kabisa, hivyo makampuni (nadhani) yanatuona kama tutakua mizigo.
6. Kutokua na connection kabisa.
7. .......
Unaweza kuendelea.
Nimejitahidi kufupisha.
NB: Hayo mambo nayafanyia kazi na nayarekebisha yoote yale yaliochini ya uwezo wangu, ili mwaka 2014 uwe wa MAFANIKIO.
Salam kwenu.
Naomba tujadiri ni kipi kimetukwamisha kupata ajira hadi leo? Tunaanza mwaka mpya sasa, ebu tujifunze kupitia makosa tuliofanya mwaka 2013. Mimi kwa upande wangu, baadhi ya mambo ninayodhania/amini yaliyosababisha nikashindwa kuitwa interview/kukosa ajira etc ni haya:
1. Kushindwa kuandaa CV na cover letter ya kumshawishi "boss" pindi anaposoma.
2. Nafasi zilizotangazwa za career yangu ni chache sana, hivyo competition ikawa kubwa.
3. Kukosa baadhi ya "email address hai" za makampuni pindi tunapoamua kutuma maombi ata kama nafasi hazijatangazwa. Nyingi tunazozipata za mitandaoni zilishaachwa kutumika.
4. Kukosa fedha za kutuma barua nyingi kwa posta au kupeleka "By hand" hivyo kuamua kutumia njia cheap ya email ambayo kusema kweli sio bora sana maana ni email chache zinamfikia mlengwa.
5. Kukosa work experience kabisa, hivyo makampuni (nadhani) yanatuona kama tutakua mizigo.
6. Kutokua na connection kabisa.
7. .......
Unaweza kuendelea.
Nimejitahidi kufupisha.
NB: Hayo mambo nayafanyia kazi na nayarekebisha yoote yale yaliochini ya uwezo wangu, ili mwaka 2014 uwe wa MAFANIKIO.