Wale Wanaume mnaojifanya huwa mnakaba mpaka Penati Wake / Mademu zenu, hivi ndivyo huwaambia ' Michepuko ' yao mkiwa nao Majumbani mwenu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Mkiambiwa kwamba hakuna Viumbe wenye akili na maarifa hapa Duniani kama Wanawake muwe mnakubali na acheni ubishi / ligi / bundesliga. Kama unadhani kama ukiwa na Mke au Demu wako Nyumbani Kwako hawezi kuwasiliana na ' Mchepuko ' wake katika namna ya ' Kisayansi ' na iliyotukuka kwa taarifa huwa unajidanganya bali wengi wao huwaambia hivi ' Michepuko ' yao tena wakati mwingine na Wewe ukiwa umekaa nae hapo hapo.

" Niko salama tu Mtumishi wa Bwana ni kwamba Malaika ametawala sehemu zote anailinda Nyumba yetu bila shaka Shetani leo hawezi kuingia wala kutoka Amina "

Shikamooni Wanawake wote Tanzania na Ulimweguni!

Nawasilisha.
 
Mkiambiwa kwamba hakuna Viumbe wenye akili na maarifa hapa Duniani kama Wanawake muwe mnakubali na acheni ubishi / ligi / bundesliga. Kama unadhani kama ukiwa na Mke au Demu wako Nyumbani Kwako hawezi kuwasiliana na ' Mchepuko ' wake katika namna ya ' Kisayansi ' na iliyotukuka kwa taarifa huwa unajidanganya bali wengi wao huwaambia hivi ' Michepuko ' yao tena wakati mwingine na Wewe ukiwa umekaa nae hapo hapo.

" Niko salama tu Mtumishi wa Bwana ni kwamba Malaika ametawala sehemu zote anailinda Nyumba yetu bila shaka Shetani leo hawezi kuingia wala kutoka Amina "

Shikamooni Wanawake wote Tanzania na Ulimweguni!

Nawasilisha.
Ahahaaaahaaa Ndo maana mama watot Wang hata akiomba nakua makin na maombi yake sana ,,,
 
Mkiambiwa kwamba hakuna Viumbe wenye akili na maarifa hapa Duniani kama Wanawake muwe mnakubali na acheni ubishi / ligi / bundesliga. Kama unadhani kama ukiwa na Mke au Demu wako Nyumbani Kwako hawezi kuwasiliana na ' Mchepuko ' wake katika namna ya ' Kisayansi ' na iliyotukuka kwa taarifa huwa unajidanganya bali wengi wao huwaambia hivi ' Michepuko ' yao tena wakati mwingine na Wewe ukiwa umekaa nae hapo hapo.

" Niko salama tu Mtumishi wa Bwana ni kwamba Malaika ametawala sehemu zote anailinda Nyumba yetu bila shaka Shetani leo hawezi kuingia wala kutoka Amina "

Shikamooni Wanawake wote Tanzania na Ulimweguni!

Nawasilisha.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu sina jaman uwiii😂😂😂😂😂😂😂
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom