grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,197
- 4,104
Kuna watu wanafikiri kule China tunaheahimiwa kuliko sehemu nyingine Duniani kama US . Huu sio ukweli tofauti ni kwamba kwasababu US vyombo vya habari viko wazi tunasikia matukio mengi lakini wa China ni wabaguzi mara 100 zaidi
Wode maya anafanya kazi nzuri sana kuwafichua hawa watu maana jamaa kwanza anajua kichina fluently na amaeshatembelea nchi nyingi tu ila china ndo sana hupendelea kwenda .
All ina all tumejifunza nini kama africa? Badala ya kulalamika?