Upo Dar sehemu gani?Tupo pamoja sana ndugu yangu. Kwa namna ulivyo appreciate atatokea mwehu mmoja atasema ID moja hii dah, wanaJF buana.....hahahaha
Nipo DSM kila sehemu Chief, hii huduma natoa kwa Dsm nzima.Upo dar sehemu gani?
Kwahyo unamfuata mwanafunzi nyumbani? Sijaelewa unavyosema upo kila sehemu darNipo DSM kila sehemu Chief, hii huduma natoa kwa Dsm nzima.
Simfuati....tunapanga namna bora zaidi ya kumsaidia, pia ikibidi kumfuata atafuatwa tuKwahyo unamfuata mwanafunzi nyumbani? Sijaelewa unavyosema upo kila sehemu dar