Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,027
Unafoj kuwa uko kenya, sema siku kikinuka imekula kwako. Mimi mwezi uliopita wamekamata 2325$ mpaka sasa nazichungulia tu nasubiri ifke mwezi wa tisa nizitoe wafunge akaunti mazimaSiku hizi hapa Tanzania paypal inaruhusu kupokea na kutuma hela?