Wale wanaopiga pesa online Tanzania, vipi mnatumia platform gani kupokea pesa?

Western union, ni easy maana unapokea cash bila Makati,PayPal iko poa though inamzunguko kidogo..wire transfer iko vizuri though inachelewa maana pesa hufika kuanzia baada ya 2 days au zaidi
 
Western union, ni easy maana unapokea cash bila Makati,PayPal iko poa though inamzunguko kidogo..wire transfer iko vizuri though inachelewa maana pesa hufika kuanzia baada ya 2 days au zaidi
Siku hizi hapa Tanzania paypal inaruhusu kupokea na kutuma hela?
 
Western union, ni easy maana unapokea cash bila Makati,PayPal iko poa though inamzunguko kidogo..wire transfer iko vizuri though inachelewa maana pesa hufika kuanzia baada ya 2 days au zaidi
Ukifanya kazi kwenye platforms au na agencies nyingi hazilipi kwa western union
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom