BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Naomba kujua hili suala, mimi ni mpenzi sana wa movies na nina plan ya kufungua movie studio hivi karibuni. Sasa nataka kujua mfano ukitaka kudownload huwa wanajiunga bando gani ili pesa ya bando na movies ukiuza kuwepo na faida.
Na kama kuna source ya internet wanayoitumia naomba kujulishwa.
Nitashukuru sana nikipata jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama kuna source ya internet wanayoitumia naomba kujulishwa.
Nitashukuru sana nikipata jibu
Sent using Jamii Forums mobile app