Mi Nilisoma Laws ila hata histry haisemi kuwa binadamu Wa kwanza alikuwa nyaniMasomo gani uliosoma ambayo co ya uongo au yale yasemayo binadamu wa mwanzo alikuwa nyani kisha nyani wa sasa hawageuki kuwa binadamu
Mkuu labda nyie mlioenda mbali sana sawa we unadhani watoto walioishia f4 wanayajua hayo kweliMi Nilisoma Laws ila hata histry haisemi kuwa binadamu Wa kwanza alikuwa nyani
Histry inaprovide different theories kama creation theory Mbali na Evolution
Kama wewe Mwalimu wako aliconclude ni hatari sana
Hapo ni changamotto mkuuMkuu labda nyie mlioenda mbali sana sawa we unadhani watoto walioishia f4 wanayajua hayo kweli
Ume uliza ili upewe jibu kama jibu unalo ya nini uulizeAisee cjui kama hujafeli f2 wewe