Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Kwa wale wanao agiza bidhaa from abroad sanasana China, bidhaa gani unaweza mshauri mtu anaeanza hiyo biashara lets say mtaji wa kuanzia m5, mtu ambae hajawai fanya biashara hii haendi China anaagiza tu kupitia source zinazojulikana na mzigo unafika bila tatizo. Unamshaur alete kitu gani mjini hapa.
No necessarily DSM hata mikoan huko.
CONTROLA nakutegemea hapa kaka, mchango wako wa mawazo
Wangar mathai pia..na wadau wengine plz msaada wenu ni mali
No necessarily DSM hata mikoan huko.
CONTROLA nakutegemea hapa kaka, mchango wako wa mawazo
Wangar mathai pia..na wadau wengine plz msaada wenu ni mali