GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,840
"CCM ina sifa ya Patasi ambayo ili ifanye kazi ni mpaka igongwe kwa nyuma, ni kazi ya vyama vya upinzani na asasi zingine za kiraia kuhakikisha CCM inafanya kazi ipasavyo na wasipofanya hivyo basi sisi tutawalazimisha" - @AdoShaibu
Ama hakika ' akutukanae ' hakuchangulii ' Tusi ' kabisa. Haya hala hala wale wana CCM wenzangu ' Patasi ' tusiofanya Kazi ipasavyo hadi ' tugongwe ' kwa nyuma hebu tujitokeze ama tumpinge Ado Shaibu au nasi tumpe majibu yake stahili.
Tuliozaliwa Mikoa ya Pwani halafu ni wana CCM hii Kauli yake inatuumiza mno.
Nawasilisha.
Ama hakika ' akutukanae ' hakuchangulii ' Tusi ' kabisa. Haya hala hala wale wana CCM wenzangu ' Patasi ' tusiofanya Kazi ipasavyo hadi ' tugongwe ' kwa nyuma hebu tujitokeze ama tumpinge Ado Shaibu au nasi tumpe majibu yake stahili.
Tuliozaliwa Mikoa ya Pwani halafu ni wana CCM hii Kauli yake inatuumiza mno.
Nawasilisha.