Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,907
- 13,367
Wadada hii imekaaje kwa upande wenu??
huo ndo U Getleman sasa, haijawah nitokea ila kdg tu itokee pale msavu, demu wakat anasagula mzee manguo yanatoa vumbi na alikua amevaa lichupi kubwa halaf jeusi tiii, yaan kaniki si kaniki pazia si pazia, nilipga chafya kama 11 hv bila kupumzika, Nilichomoka usiku huohuo nikaenda kulala na wapga debe, Yule nahc alikua mganga wa kienyej angenigeuza kuku yule mdada asee
Mkuu naona uliamua kwenda kuripoti kituo chako cha kazi shinyanga
E bwana huyu anatudanganya, au atakua shugarey..Hata namba ya simu hujachukua mkuu
Sijui ni mimi tu ambaye hua siamini hizi nyuzi
huo ndo U Getleman sasa, haijawah nitokea ila kdg tu itokee pale msavu, demu wakat anasagula mzee manguo yanatoa vumbi na alikua amevaa lichupi kubwa halaf jeusi tiii, yaan kaniki si kaniki pazia si pazia, nilipga chafya kama 11 hv bila kupumzika, Nilichomoka usiku huohuo nikaenda kulala na wapga debe, Yule nahc alikua mganga wa kienyej angenigeuza kuku yule mdada asee
inategemea nimtu" wa mindset yanamna gani...Kama yeye ni sexual mind" atakuona boya SanaLakin ataelewa ni muugwana sna , na sina sexual minded
hahahaha maisha hayana hurumaalafu unakuta mtu kama huyu na juhudi zote zakupambana na shetani eti analetewa ukimwi na mke wake wa ndoa....
nimewaza tu dadeq 😠😠
hahahaaNamimi mkuu nahisi hi chai
Aiseee hahahaTena alete na maandazi kabisa
hahahaAnalipa lakini huyo mwanamke?
Tupo wengiSijui ni mimi tu ambaye hua siamini hizi nyuzi
kwakweli kama huko kuacha mwanamke ndio u gentleman wenyewe...mimi unipitie mbali aiseeKweli Malaika Sometime wako kazini nawaza ingekuwa ni mimi Kungekucha kweli sema Hiyo nayo ni sehemu ya kutojielewa tu. Wanawake si wa kuwaacha hata kidogo labda awe ndg yako wa kuzaliwa au ukoo wako Vinginevyo hio dhambi ya kuacha mwanamke siiwezi
ingawa binaadamu sio wakumpa gerentii...hapo ndio pakushikilia mkuuMmmh mungu atunusuru kwa kweli
Hata hivyo wife si mtu wa tamaa , ingawa binaadam si wakumpa gerentii
hahaa waoge wapi... kwanza angeoga nae sindio angemkula....daaahh unaachaje demu hivi hivi...." Aiseee wenyekiti hii ni haki kweli hii... Castr .. Ambiele Kiviele " WickKwahiyo hata kuoga hamjaoga??