BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 762
Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana katika hili swala wa watoto kusoma nje ya Tanzania. Binafsi nina binti yangu nataka kumpeleka CANADA (Alberta for her Economics course first degree) ila napata comments tofauti ambazo wengine wananiambia degree ya kwanza usimpeleke mtoto nje ya nchi kwani anaweza kuharibikiwa na asisome kabisa.
Naomba ushauri kwa wadau wa elimu na wale mliosoma nje.
Naomba ushauri kwa wadau wa elimu na wale mliosoma nje.